Hii ni video ikionyesha jinsi basi hilo likiteketea kwa moto Chalinze Pwani.
VIDEO IKIONYESHA JINSI BASI LA HOOD LILIVYOKUWA LIKIUNGUA MOTO
3
April 30, 2014
Habari za basi la Hood kuteketea kwa moto likitokea Mbeya njiani kuelekea Arusha zimetoka na kusambaa sana April 29 2014 jioni na hakuna mtu aliyepoteza maisha lakini watu wanaofikia 40 wamejeruhiwa huku 55 wakinusurika kifo.
Hii ni video ikionyesha jinsi basi hilo likiteketea kwa moto Chalinze Pwani.
Hii ni video ikionyesha jinsi basi hilo likiteketea kwa moto Chalinze Pwani.
Tags
Mwaka huu tunakwishaa
ReplyDeleteMagariyao naona yameshaisha yote hawa hood
ReplyDeleteKUUNGUA BASI HILI, ANAPATA MENGINE KUMI. KAFARA
ReplyDelete