Wema Sepetu Amepata shavu la Kutangaza promotion mpya ya Mtandao wa Airtell Ambayo unapata Facebook, Twitter na Whatsapp Bure, Wema Sepetu anawajoin JB na Joti Ambao nao pia kwa sasa wanatangaza Promo za Makampuni ya Simu....Hongera Wema ...
Team Wema Mpo ??
tupo hongera wema
ReplyDeletethats my wema..i love you mingi mingi
ReplyDeleteKula pesa mama, wenye wivu watacoment ujinga, keep it baby wema.
ReplyDeleteWema wakuwacheeeeee,penda unapopenda Bibi wee
ReplyDeletec anajitongozesha huyo hata hanipi shida mxenge huyo waxenge na team yenu
ReplyDeleteAnalipa ndo maana kawekwa hapo. Na bado anazidi kusonga mbele. Sasa wewe mwenye sura kama kikaango cha chipsi tandale utaendelea kujitongozesha tu na hupati soko ng'oo
DeleteHahahahhahahahahaha kama hauna cha kuongea hater wewe,kachambe ulale.. Wema a.ka mama Chibu atabaki kuwa Wema forever
DeleteLove u wema,fanya yako mama
ReplyDeleteWivu huo, unatafuta maneno ya kukufariji kimekuuma.kwi kwi kwi pole mwe ndo kashaula hivyo.Kahonge na ww upate kama kahonga.Mxiuuuuuu mshamba kweli wewe Anonymous wa 4:50.
ReplyDeleteKila laher
ReplyDeleteMrs dangote penda wewe balaa
ReplyDeletekizuri wema chajiuza kibaya chajitembeza na watajitembeza sana lakini hawatafikia nyota yako,wakaogeeeeeeee
ReplyDeleteCongratulation Wema!
ReplyDeleteMsaada tutani,kwani kupata kibali cha kuingia china Ni rahisi?mbona siku hizi wadada Wa mjini Ni china china china kilaaaa kukicha,visa Ni rahisi kupata?
ReplyDeleteMapunda hao wanadili na wenye mali ndo masna kila cku china tuu
Deletewanaonga pale embassy ya china.
ReplyDeleteNana junior Asante eee
DeleteGo go my lv!!!
ReplyDeletego wema go wema
ReplyDeleteWema mama keep it up ndo ndo mda wako huu. Waliponda sana sasa umepata wanatafuta la kuzungumza. Go gal go gal....
ReplyDeleteMy wemaaa onyinyeeee mamaa chibuuu. ..nakupenda bure songa mbele hii ndo team wema mambwaaa gusen mnateee sie na nyota zetuuu jaman wemaa lalaa mamaa tyr 2 makonde mtwala kawavurugeee kuonekana kwk btu stageni ni pesaa acha makumaaaaaa wataabikee
ReplyDeleteJamani wema nakupenda sana ebu msameehe kajala take one ya leo kalia mpaka uzuni kweli anakupenda kei tena kakili hawezi kutembea na ckement na haitatokea kei kama unatabia ya kubeba waume wa rafiki yako uwache si tabia nzuri? Najua wema mtt mzuri tabia nzuri atakusamehe wema hana iyana.
ReplyDeleteJamani wema nakupenda sana ebu msameehe kajala take one ya leo kalia mpaka uzuni kweli anakupenda kei tena kakili hawezi kutembea na ckement na haitatokea kei kama unatabia ya kubeba waume wa rafiki yako uwache si tabia nzuri? Najua wema mtt mzuri tabia nzuri atakusamehe wema hana iyana.
ReplyDeleteJamani wema nakupenda sana ebu msameehe kajala take one ya leo kalia mpaka uzuni kweli anakupenda kei tena kakili hawezi kutembea na ckement na haitatokea kei kama unatabia ya kubeba waume wa rafiki yako uwache si tabia nzuri? Najua wema mtt mzuri tabia nzuri atakusamehe wema hana iyana.
ReplyDeletekashamsamehe ndo maana kakaa kimya..ila kurudia urafiki nae itakuwa ngumu.....kajala ni jalala.wema ni daraja lengine ,,atulie afanye mambo yake kwani lazima kurudiana pamoja?mi nakuhakikishia kashamsahau hayupo tena ktk maisha yake.
Deletemnachekesha sana na timu isiyo na lefa nyie hahaaaa kazi kweli mnayo mnajiuiza wenyewe mnajijibu wenyewe na kutukana juu duuuuuuuu
ReplyDeleteSafi kama umepata shavu ila tulia sasa sio kila sehem sehem lazima mtoke na sifa mbaya.ongera
ReplyDeletewema!wema! jina lako,uzuri wko ah upo juu mama anaekuchukia hana ujanja.fanya yakoooooooo.lv u sanaaaaaa.
ReplyDelete