Dk. Kitila Mkumbo Ajitambulisha Rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea uwenyekiti.

==============

JamiiForums imefanikiwa kumtafuta Dr. Kilila Mkumbo kuthibitisha habari hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa Alliance for Change and Transparency (ACT).
Source:Jamii Forums
Tags

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. YOTE KUTAKA MADARAKA

    ReplyDelete
  2. Haijawahi tokea katika historia ya Tz chama kipya cha siasa kikapewa usajili wa kudumu ndani ya wiki tatu tu kama hii ACT.Kwa kawaida huchukua mwaka mmoja hadi miwili au never ,msajili husingizia hana pesa.Lakini hiki chama cha ACT au CCM-B chini ya wafadhili wake Wassira na Lukuvi ' wanamtumia 'toy boy' wao Zitto for political masturbation wamepigwa bao na UKAWA.

    ReplyDelete
  3. Ccm wanavuta shuka wakati kumeshakucha, UKAWA ni noma wanachukua nchi .

    ReplyDelete
    Replies
    1. huyo wakumpa nchi ukawa ni nani hivi mnafikiri wananchi wamelala, mtawapa nyinyi wajinga na msiojua dunia inakwenda wapi

      Delete
  4. ACT imeanzishwa na CCM kwa kumtumia mamluki wao Zitto ili kuiyumbisha Chadema lakini kwa mtu kigeugeu kama zitto ataishia kula pesa zao na kuwatapeli tu keshapauka kisiasa.

    ReplyDelete
  5. watakao ingia ACT hawajitambui/ pesa/bendera upepo/ madaraka

    ReplyDelete
  6. Zitto sio mtu.

    ReplyDelete
  7. eti utamwita aje kugombea uwenyekiti inahusu, huyo zito ndo chama chake wewe ni kivuli tu, hata hivyo tushachoka na vyama kila kukicha ikiwa hakikizi matakwa ya wananchi mtuache tupumzike tujue nchi yetu inakwenda wapi kuhusu katiba, mnatujazia mivyama sisi itatusidia nini mafisadi nyie mko kimasilah zaidi na sio kuwatumikia wananchi na kuwapigania wananchi walio walala hoi

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad