Irene Uwoya Amlilia Adamu Kuambiana, Aweka Message Walizochat Kabla Hajafariki

Irene Uwoya Ameguswa sana na Kifo cha Adamu Kuambiana na Kuonyesha machungu aliyonayo kupitia Instagram kwa Kupost jinsi anavyojisikia baada ya kifo chake pamoja na kuweka masage walizochat kabla hajafariki hii inaonyesha ni jinsi gani walikuwa karibu

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad