Jina Kabula Amteka Kimapenzi Madee Wanaongozaja kama Kumbi Kumbi

Siku za Karibuni Mwigizaji wa Sinema za Kibongo Jina kabula inasemekana amelinasa penzi la Mwaimbaji maarufu wa Bongo Flava Madee , Habari zilizozagaa ni kuwa huwa jamaa wanaongozana kila mahali kama kumbi kumbi iwe shopping kwenye maduka na hata sehemu za kuogelea...Baada ya Madee kutafutwa amekana tuhuma hizi na kusema kuna kazi wanafanya pampja ndio maana wanatembea wote kila mahali ...Jina kabula Aliwahi kutoka na Tuesday mwigizaji mwenzake ni walipata mtoto pia siku za karibuni alikuwa anatoka na Bushoke

Post a Comment

15 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Majangaaa..... Madee mbona unataka kujishusha thamani kaka?

    ReplyDelete
  2. Kabula ni kahaba lililoshindikana

    ReplyDelete
  3. Pole sana madee ushapotea tayari

    ReplyDelete
  4. kapotea nn xaxa, kwan kabula c mtu? adm kuandka kumekushnda rudi shule.

    ReplyDelete
  5. Kwani wasani wa bongo si ndivo walivyo wanakula makombo ya mapedeshee

    ReplyDelete
  6. sasa mnataka kabula asagane? Acheni madee nae ajilie utam bhana, madee ee we sugua gaga

    ReplyDelete
  7. kipendacho roho jaman ula nyama mbichi, ukitaka wakwako utamkuta wapi may b uchonge mgomba, jimegee kaka binadam ndo walivo.

    ReplyDelete
  8. Xana 2 buluza mzg mdd

    ReplyDelete
  9. duu madee jiandae kwenda muhimbili kupata do....

    ReplyDelete
  10. Piga mzigo kamanda mega

    ReplyDelete
  11. mega tena sugua mpk kisimi kipotee

    ReplyDelete
  12. Kweli nani kamwaga pombe yako?nauliza.

    ReplyDelete
  13. kamwaga jini kabula, ila madee uyo dem ni mkorofi ucpime

    ReplyDelete
  14. Nyokoo umeniwahi tu natamani Hilo totoo.da ila poa ukitoa mguu nawekaa ugokooo

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad