LADIES:Mwenzenu Huyu Katumia Dawa za Kukuza Makalio, Oneni Zilivyomfanya

Wameshauliwa sana, wameimbiwa saaaana lakini wenye masikio ya kufa ambayo hayasikii dawa wanaendelea kupaka. Dada zetu jaman kama mungu kakuumba na vitako vidogo kama skonzi au ngumi za mtotovumilia tu. Hivi huoni aibu hata kidogo, leo unavitako vidogo kama vibumunda vya bakhresa kufumba na kufumbua una makalio kama umejazwa upepo. Huogopi hata watu watakustukia. Haya sasa kama unapenda hilo, jua na madhara yake pia...mwenzenu amebakisha makalio yaliyoumuka na kuvimba kama viazi vya kuchoma. 

SI UNAUTAKA UZURI WA MATAKO, PAKA TUKUONE KAMA HAUTAKUWA NA MAKALIO YALIYOPISHANA SIZE.....NIMEMALIZA
Tags

Post a Comment

16 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. duH hi kali pole nando mjue mungu aliumba hajakosea

    ReplyDelete
  2. pole Dada ilajookwangu nikupe dawa

    ReplyDelete
  3. HAWA Malaya ngojawakome

    ReplyDelete
  4. kumbe wema nae kakuza makalio yani yanafananaje na ya wema !hahahaha wakome

    ReplyDelete
  5. Acha wakome hata wananaume wanarefusha mbolo bolo kufirwa mkundu upate hela

    ReplyDelete
  6. Jmaniii mungu anakaz na viumbe wake sie

    ReplyDelete
  7. wapiiiii maimartha jeseee,

    ReplyDelete
  8. Duh ila tuongee ukweli, hiyo dawa ingekubali kwa huyu dada, ningemtafuta hadi nimpate!!

    ReplyDelete
  9. nick minaj..alifanyia surgery..lulu wa eatv nae alipakaga kaumuka mwili mzima alikuwaga na mwili mzuri.

    ReplyDelete
  10. kwanin mcjikubali, kwani kila m.ume anataka matako?, km ujajaaliwa c ubaki ivoivo ?, ndo mana mnapata kansa

    ReplyDelete
  11. Haaaaaa tena ebu baelezee baelewe )wengine ndokwanza wanapanga kukuza wa2lingishie ktaan

    ReplyDelete
  12. Husimkosoe Muumba wako kakuumba kwa kusudi lake

    ReplyDelete
  13. Sawa kabisa mnajifanya nyie ni Mungu wa pili,kazi kwenu

    ReplyDelete
  14. yaani na bado, saiv dunia inapoelekea sipo kabsa kila alichoumba mungu anakosolewa si kope si matako wala kucha....... aya bwn mi manka wa kichaga ndo nshapigwa pasi na hata sina waswas .....kaz kwenu watt wa mjin.

    ReplyDelete
  15. saf sana ınabd ujıkübalı laxıvy ytakkuta kama yalo mkuta bı dada

    ReplyDelete
  16. kapendeza ila madawa ayafai kansa hatari

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad