Miss IFM 2014 ilivyokua na huyu mshindi kutangazwa

Chuo cha usimamizi wa Fedha IFM usiku wa mei 09 walikua wakimtafuta Miss Ifm ambayo kwao ni kama kumtafuta mwakilishi wao ambaye atakwenda kuwawakilisha kwenye ngazi zinazofuata za mashindani haya ya urembo.
Mgeni rasmi katika mashindano haya alikuwa ni Lawrence Masha,burudani toka 254 ilihusishwa ambapo Cmb Prezzo ameburudisha watu wote waliokuwa ukumbini usiku huo na katika mashindano haya yamemalizika kwa Lilian Timoth kutangazwa kuwa ni Miss IFM 2014.
Wengine ni aliyeshika nafasi ya pili Miss IFM Evanice William na Miss IFM nafasi ya tatu ni Lilian Josephat
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad