Muziki wa dance umepata pigo jingine, Taarifa ya kifo cha Mwimbaji Amina Ngaluma ‘Japanese’

Amina Ngaluma ‘Japanese’ ni miongoni mwa waimbaji ambao waliipa umaarufu sana bendi ya African Revolution ‘Tam tam’ kupitia wimbo wa Mgumba na baadae kujiunga na bendi ya Double M Sound ambapo mpaka anafariki alikua nchini Thailand akifanya kazi na band ya Jambo Survivors.
Amina amefariki May 15 2014 saa sita mchana baada ya kuumwa kwa siku nne ambapo mume wake alipozungumza  amesema kiongozi wa band yao huko Thailand alimwambia Amina alilazwa hospitali kutokana na maumivu makali ya kichwa.
Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. RIP amina ngaluma.

    ReplyDelete
  2. Maskini apumzike kwa amani

    ReplyDelete
  3. bwana umetoa bwana ametwaa jina lake litukuzwe

    ReplyDelete
  4. Mungu tunaomba roho ya marehem uiweke mahala pema peponi AMEN by JACK

    ReplyDelete
  5. jamani dengue hiyo

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad