Mwigulu Amchana chana Lissu Hadharani


Leo Bungeni:Mwigulu Amesema anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.

Tags

Post a Comment

16 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wewe Mwigulu kama huna hoja kaa kimya.Huna uwezo wa kujibu hoja za shujaa Lissu.

    ReplyDelete
  2. Ulichosema jamaa wa juu naungana nawe mwugulu Kuma Kama ma
    kuma wengine

    ReplyDelete
    Replies
    1. Huyo sio kuma tu haitoshi huyo ni laana mkubwa kwa watanzania huyu ndio mtu ambae mafisadi huwa wanamtumia bungeni kupinga hoja muhimu za wapinzani bungeni!yaani uma wetu ungekuwa unajielewa huyu ni mtu mmoja mbaya sana katika nchi yetu anafaa kupigwa mawe hadharani kama sio kunyongwa kabisa kuma nina huyu!hana anachoongea cha maana bungeni zaidi ndio kama uharo huu anaokunya kila siku bungeni na fedha zetu za walipa kodi zinakwenda bure kabisa kumlipa mkundu kuma la mama yake mjaa laana shetani mkubwa mchumia tumbo huyu nyoko!nilitegemea angeinuka na kuongelea mabilioni yalio ibiwa naIPTL kupitia wizara aliyopewa leo hii anainuka na kuongea usenge tu...!

      Delete
  3. Ma-ccm wanamwogopa Tundu Lissu kuliko wanavyoiogopa tsunami,anawanyima usingizi.Mwigulu ni lofa tu anayetetea tumbo lake,Lissu anatetea wananchi.

    ReplyDelete
  4. Uongozi hasa wa wakuu wa mikoa ,wachaguliwe na wananchi,nchi itabadilika,kama vile wabunge.Mwingula,profesa Muhogo ,wote ni kitu kimoja ,ni kudhara wazawa na kubeba wageni,,.Enzi zile Agustino Mrema angekuwa rais haya yote ,yasinge tokea bongo, wizi wa mamilion,bilion,EPA ,KABLA h ajakubali kutumikia ccm.
    Ila wananchi wengi hawataki mabadiliko ndio maana wana mkubali msomali KINANA, NA wezi wa tembo,wananchi wengi wamekubali kuwa maskini kwa kuogopa kufa,kwa kutetea haki,lakin mwisho upo,wasomi kuanzia walimu,madakitari,wanafunzi elimisheni wazee huko vijijini wajue matatizo yote ni serikali iliyoko madarakani,hakuna dawa mahospitalini,hakuna vitabu shule za msingi,hakuna magari ya wagonjwa vijijini,hakuna maji,na wananchi wana kaa kuanzia asubuhi mpaka jioni kumsubiri kinana.

    ReplyDelete
  5. Tulijenga dodoma mawaziri,na wakurujenzi wahamie huko ,lakini bado wako dar,na majengo yapo.mapigano ya wakulima na wafugaji yanaendelea na serikali imekaa kimya,loliondo iliuzwa serikali imekaa tu,tanzanite inaisha hatujui mahesabu yake,wageni wametawala mchumi kwa mikataba ya kuhonga ,serikali imekaa tu,.
    Nafuu jeshi lichukue nchi ,tuone hao ,mawaziri mizigo ,na vigogo wa ikulu watakula wapi? ajira hakuna, wakenya wamechukua,watanzania ni waoga kutoka nje ya mipaka na serikali inajua hilo na haitaki kuwajengea vijana ,ujasiri wa kufanya hivyo.
    Tunaomba Mungu atupe wazalendo katika nchi yetu,na ukombozi wa mali zetu,wazee hawana hata center ya kutunzwa,ni nchi gani hii? tumekosea wapi Watanzania wenzangu kila kitu tunacho.

    ReplyDelete
  6. Adui yetu mkubwa ni uwoga wetu

    ReplyDelete
  7. TUJITAMBUE JAMAN TZ

    ReplyDelete
  8. MA comment mengine !!!!pyuuuuuuuuu!!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wew ulitaka tu coment vip mnuka mavi wewe?!hebu tuambie nyoko wewe!

      Delete
    2. Mwigulu ...Humwezi Lisu kwa Hoja...Mnafiki Mkubwa we! ..siku za mafisadi IPTL zinahesabika..tupe Majibu bil 200 zimeliww Na nana? Kama kweli Ni mzalendo wa kweli

      Delete
  9. Kwanini mnamuogopa kumwambia ukweli? Huyu Mwigulu ni MSENGE MTEFTEF. Muangalieni vyema mtagunduwa

    ReplyDelete
  10. Nilikumuona Mwigulu pale crdb posta mpya anatembea kizembe zembe sana kama wajanja hawajamfila basi alijiinyea kwenye suruali.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad