Team Lemutuz Watupiana Maneno na TeamUkwelinaUwazi Instagram Kisa Ugomvi wa Wema na Kajala


Ilianza Hivi:

Teamukwelinauwazi
3 days ago
Huyu Lemutuzi nae ni mbulula wa kwanza Tanzania kama wewe kweli hawa ni superfriends zako unashindwaje sasa kuwaweka chini ukaongea nao na ukajua chanZo cha ugomvi wao na mwisho ukawasuluhisha !! Nakuona unaegemea upande wa wema ! Kwani alikwambia nani kua ukimsaidia mtu ndio umnyenyekee kama mungu wako hata kama akifanya makosa basi umchekee tu kiiiisa huna sauti eeeeti kwa sababu tu amekusaidia huo ni utumwa!!! Heshima ni kitu cha Bure ndio maana tunaambiwa muheshimu mdogo nae atakuheshimu! Juzi tumeona interview Ya kajala na mwanae kajala kaongea vizuri sana sio kwamba kasahau wema aliotendewa la hasha na kasema hata amlioe mabiliini si kitu !! Yaliyopo nyuma Ya pazia ni mengi ukweli wa chanZo cha ugomvi wao wanaujua wenyewe!! Sasa wewe lemutuz na mtumbo wako peleka huko gym mtu mzima wewe ovyoo sana na hizo system zako !! Kwanza ile Harusi yako uliojigamba haina muchango imeishia wapi ??? Huyo mchumba yuko wapi maana kila siku kupiga picha na bebez Za watu !! Eti ooh bahari baharia utakua wewe meli ikipinduka utahemea wapi kama nakuona utakavyotapatapa ndani Ya Maji .. Ukimkuta kwenye kumbi Za starehe sasa anavyojinadi ooh mi hinijui Mimi ndio lemutuz uliza mjin hapa nafahamika sana !! Nyooo huna haya mwanaume mzima uache kutulia na familia kutwa unakesha kutafuta umbea tutokee hapa na jasho la mchicha pori...

Ikafuatia Team ya Lemutuz Kutoa Vidonge:

Teamlemutuz
@teamukwelinauwazi naona umeanza kufulia now! Huna mastori ya maana like you used to be, siku hizi @teamukwelinauwazi imegeuka team penny!! Mnakazi ya kutetea tu kinafiki kila kitu kinachifanywa na team penny hata kama wanafanya uozo!! Kajala ni mpumbavu na mnafiki, najua bibie unamtetea kwa kuwa yuko team penny, but the truth be said kajala mjinga hakumbuki alikotoka hajui siku anaweza kupata janga kubwa zaidi and hao alionao wote watamkimbia, marafiki wenyewe wako nae ili tu kumuumiza wema, hawana upendo wowote!!!! Big up @lemutuz kwa kumwambia ukweli si watu wote wenye ujasiri wa kumwambia mtu ukweli pale anapokosea..... waache mburulaazzz waongeee

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hehe wache kutetea ujinga team unyoko, kama kakosea kajala ni lazima ambiwe ukweli angekuwa jela mpaka leo miaka saba mchezo shwain

    ReplyDelete
  2. Hatujui chanzo Poa kamwe huwezi hukumu upande moja.hapa ni kuwaweka kitako Wote.me mutz unamwaga patrol ktk moto Hujuwi chanzo.unadandia Gari kwa mbele

    ReplyDelete
  3. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad