Breaking News:Ajali Mbaya yatokea Maeneo ya Makongo na Kuuwa Watu 18..Photos




Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari jijini Dar.
Inasikitisha Jamani ...RIP
By Pendo Lyimo
Tags

Post a Comment

21 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Poleni sana ndugu wa marehu mwenyezi mungu awapokee mikononi mwake

    ReplyDelete
  2. Omg....R.I.P kweli uhai mkononi me nafika bonden mara nackia ajali daaah polen sana wana familia

    ReplyDelete
  3. Jamani tuendeshe magari vzr huyo nahisialikuwa anaovatake

    ReplyDelete
  4. innalillah wainna ilayhi raj uun..

    ReplyDelete
  5. poleni sana ndugu zangu mungu awalinde

    ReplyDelete
  6. INNALILLAH WAINNAILAH RAJIUN
    HAKIKA SISI WA MWENYEZI MUNGU NA KWAKE TUTAREJEA
    YA ARABI WAPUNGUZIE UCHUNGU WA MAUTI WAJA WAKO
    WAPE SUBIRA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WA MAITI HIZI
    TULIOBAKI NASI TUZINGATIE MAUTI

    ReplyDelete
  7. kazi yake mola haina makosa cc2lwapenda ilayy muumba kawapenda zaidi poleni sana ndugu wa malehem katka kipndi hiki kigumu

    ReplyDelete
  8. Mungu awapumzishe kwa amani. Amina

    ReplyDelete
  9. Mungu aziweke Roho za marehemu pema na poleni wafiwa.

    ReplyDelete

  10. Allah tupe subira na nyoyo za kusubiri. Amen

    ReplyDelete
  11. Polen wafiwa

    ReplyDelete
  12. Ina lillah waina ilah rajiuna! Hakika kifo 2natembea nacho. M.Mungu awapunguzie adhabu ya kabri!

    ReplyDelete
  13. Pole sana wate walio guswa na msiba.

    ReplyDelete
  14. he who giv he who take. Jina la bwana libarikiwe

    ReplyDelete
  15. R.i.p bt jana taarifa ya habari tbc na itv walisema ni watu 6 ndo walifariki chunguzeni habari kwa umakini kabla ya kuandika.

    ReplyDelete
  16. Wao ndio wachunguze

    ReplyDelete
  17. Hivi jamanii hii Tanzania ni nchi ya aina gani? Mbona ajali zimekuwa ni nyingi Sana halafu viongoz wetu hawasemi kitu?hata huku bungeni hawalizungumzii hivi ni kwann hasa? Hawazungumza mambo yao ya vimada tuu na mambo mengine yasiyo ya muhimu/ why?ni ukosefu wa elimu ya kutosha ama?

    ReplyDelete
  18. RIP kwa wote na poleni wale wote mliofikwa na msiba huo. tuko pamoja ktk kipindi hiki kigumu

    ReplyDelete
  19. basi imetosha udaku,toeni hizi picha kwani ndugu zao bado wanaomboleza kwa kupoteza wapendwa wao.sio vizuri nyinyi kuendelea kuanika miili yao wakati wao wameshaisitili jamani.muwe wastaarabu waandishi wa kibongo.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad