Florah Mbasha Awagawa Wachungaji…Baadhi yao Wadai Hawawezi Kuhudumiwa na Mwimbaji Mzinzi

Mpasuko  wa  ndoa  ya  wasanii  wa  nyimbo  za  Injili, Emmanuel  Mbasha  na  mkewe  Florah  umewagawa  wachungaji  wa  makanisa  mbalimbali  nchini  baada  ya  kibao  kumgeukia  Flora  kwamba  ndiye  anadaiwa  kusuka  mpango  wa  kumwangamiza  mumewe  ili  afungwe  kwa  kosa  la  ubakaji…..

Wakizungumza  na  wanahabari  wetu  kwa  nyakati  tofauti,  wachungaji  hao  walisema  endapo  itabainika  ni  kweli  Flora  ameshiriki  kumsaliti  mumewe  kwa  kutembea  na  mmoja  wa  wachungaji  maarufu    nchini  hapatakuwa  na  haja  ya  kumwalika  kwenye  huduma  zao  kwani  hawawezi  kuhudumiwa  na  mwimbaji  mzinzi.

Mchungaji  Ambonile  Mwakipesye  na  Amani  Joseph  wa  makanisa  ya  Tanzania  Assemblies  of  God ( TAG)   walisema  kuwa  kama  kulikuwa  na  matatizo  kwenye  ndoa  yao  walipaswa  kuwaona  watumishi  wa  Mungu  na  kusuluhisha  badala  ya  kutengenezeana  mitego  na  kuingizana  majaribuni  kama  inavyodaiwa  kutokea  kwa  Mbasha….

Wakati  wachungaji  hao  wakisema  hivyo, mchungaji  Thomas  Methew  yeye  alisema  kuwa  ukweli  wa  jambo  hilo  wanaujua  wanandoa  wenyewe  kwani  mpaka  sasa  hakuna  anayelijua  tatizo  kubwa  mpaka  wakafikia  hatua  ya  kutengana

Post a Comment

19 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hawa wachungaji walitajwa hapo juu na wenyewe wana mizigo yao ya dhambi,hawana haki ya kuhukumu,tukianza kutaja ya kwao watu watashangaa,Tuwaombee Florah na mbasha mambo yao yaishe.

    ReplyDelete
  2. Ndio mwisho wako huu frola pole,umejiharibia sana,uliza Beatrice mhone Yuki wapi,chezea mungu wewe,utaendelea kuimba kwenye huduma za gwajima usijal na atakudoble malipo.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mdau nijuze please Beatrice muhone kapata tatizo gani?mi niko ulaya mambo ya nyumbani yananipitaaa

      Delete
  3. mwanamke mpumbavu uibomoa nyumba yake kwa mikono yake ulikuwa huna sbb ya kumshauri mdogo wako aende polis wkt ww unaweza kufanya kikai cha famil maana umejitia aibu sana

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wewe Wa wapi? Mwenzio nia Yake mumewe afungwe,anadai ndoa imemchosha anataka awe huru

      Delete
  4. ulitakuwa ushauliwe ndiyo ufanye ulichokifanya umetucost wote shabiki zako maana nimekuzalau sana ww mdada

    ReplyDelete
  5. Mama wa makahaba

    ReplyDelete
  6. Wote hatujui ukweli wa sakata hilo tunahukumu tu kutokana na taarifa za waandishi wa Habari, kama Mr Mbasha hajatenda kosa kwaninii ajifiche mpaka leo? Ukweli wa swala hili wanalo wenyewe Mr na Mrs Mbasha, na nyie Udaku toeni story za kweli msipotoshe jamii.

    ReplyDelete
  7. mtumishi gani wa mungu amejichuna ngozi kiasi hicho

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wamejichuna ngozi na Mbasha pia,Eti walokoleeeeeeee my ass!

      Delete
  8. Mimi naona mwenye makosa makubwa ni Flora, kwanini alilalanjeyandoa bila kumwambia au kumpigia Mume wake, pia kamaBinti alibakw usiku, hiweje mwende kumpima mchana? Flora hacha tamaa za kijinga.. umeidhalilisa familia yako, kaa chini utubu... Huyu sijui Gwajima Ngawajima, hachananae, ni tapeli mkubwa, lego ni kusmbalatishandoa za Watu.. Tumia akili MAMA....

    ReplyDelete
  9. huyo malaya ,kashahamua umalaya wake

    ReplyDelete
  10. Flora shame on u hv to go kimwili poa kiroho kwisha itakuwa ulianza mda mrefu umeumbuka gym masaa yote hayo ndo mana mr katoka nje

    ReplyDelete
  11. TANGU LINI MWANAKWAYA WAHAPA TZ ASITUMIKE KWA VIONGOZI ILI AFANIKIWE?

    ReplyDelete
  12. Hakika ni,mambo ya aibu Sana eti nyimbo za injili mmekuwa je? Haya mwanamke mpumbavu huibomo nyumba yake kwa mikono yake. Haya timbwili hiloooona yaelekea Kuna ukweli ndio maana hata hata Mbasha mwenyewe amejificha duu POLE KWA TAMAA

    ReplyDelete
  13. jinsi ya kutengeneza pesa kupitia computer yako

    ReplyDelete
  14. Km kweli Mr Mbasha alitenda ilikua ni kutafuta suluhu ya ndani sasa kwa hili lilivyo aibu si kwa Mr pekeyake ni famillia nzima,kuna tabia ambazo Kamwe hua hazibadili km umezaliwa nayo utajificha sana kwenye ngozi ya utakatifu lkn kuna cku utashindwa tu lzm itoke nje na kujipamba2nua Kuwa wewe ni nani ktk jamii (umalaya)

    ReplyDelete
  15. Mbasha aka Hussein14 June 2014 at 14:29

    wanandoa waliokoka inabidi waende kwenye kanisa ambalo wote wanamuheshimu mchungaji, ili kwamba mnapotofautiana muweze kusuluhishwa kirahisi.

    sasa Flora amembuluta Mbasha kwa Gwajima, obviously Mbasha ataona sio sawa kwenda kusuluhishwa na Mchungaji ambaye anampenda mke zaidi, ndio maana haya yametokea.

    Kuna ugomvi wa kindoa wazazi hawawezi kusuluhisha kwasababu kila mtu ana wazazi. ni Bora kuwa na mzazi wa Kiroho ili nyote muweze kurekebishika.

    Dada Flora, anaenda gym masaa manne na mtu ameolewa, si inabidi umweleze mumeo uko wapi, wewe ukiondoka tu nyumbani alafu unamwambia mumeo "utajaza" unadhani ndoa yako itapona?

    watu tuliokoka jamani, tunahitaji hekima ya hali ya juu, watu wasiokoka wanatumia hekima hii na ndoa zao zinadumu miaka 80.

    ReplyDelete
  16. Picha hii inaonyesha furaha aliyo nayo Flora kwa yale yaliyotokea katika ndoa yake, yuko gizani. Hajui hata nini kinaendelea kuhusu ndoa yake maskini wee!!!. Aibu yote hii si kitu kwake Kitu gani hasa kinachompa furaha hii? Zaburi 139:23-24 inasema "Ee Mungu, unichunguze, uujue moyo wangu, Unijaribu, uyajue mawazo yangu; Uone kama iko njia iletayo majuto ndani yangu, ukaniongoze katika njia ya milele."
    Inawezekana hajui kabisa impact ya scandal ya ndoa yao kwa jamii mpaka sasa, Bwana amfungue macho apate kuelewa.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad