Huyu Ndio Amina Maige Aliye Mng'ata ng'ata Mfanyakazi wake wa Ndani Hapa Akipandishwa Mahakani, Wananchi Wamzomea

Pichani ndio Mwanamke anayejulikana kwa jina la Amina Maige Aliyeingia Katika Headlines week iliyopita baada ya kukutwa na Tuhuma za Kumjeruhi mfanyakazi wake wa Ndani kwa Kumg'ata ng'ata na Meno mwili mzima , Hali ilikuwa Tete wakati akiwa anapandishwa mahakamani wananchi na wanaharakati mbali mbali walikuwa mahakamani hapo wakitaka aonyeshwe sura yake baada ya kushushwa kwenye gari huku amejifunika Kichwa...

Angalia Video hapa Chini Ujionee:

Post a Comment

13 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mi nataka nione hii serikali kwa sasa, maana imezoea kupokea rushwa wakati roho za watu zinateketea mi nataka nione safari hii hizi kesi

    ReplyDelete
  2. Kama kweli ni dadake Fisadi Ezekiel Maige kama alivyowatishia polisi siku walivyokwenda kumkamata nyumbani kwake , unadhani hii kesi itafika mbali?

    ReplyDelete
  3. Muone mbayaaa na roho yake mbayaa

    ReplyDelete
  4. mkimuachia tu tutachukua sheria mikononi mwetu

    ReplyDelete
  5. Adhabu kali ichukuliwe kwa huyu mcharuko iwefundisho kwa mazombi wengine ambao wanaona dili kunywa damu ya mtu!

    ReplyDelete
  6. Adhabu kali ikichukuliwa kwa ukatili huu itakuwa fundisho kwa watu wenye tabia kama zake.

    ReplyDelete
  7. Mnachekesha kweli wadau mnalalama nini? eti serekali tuone itafanya nini!!! mtasubiri sana hanma kitu ss wanyonge ndio tunaonja joto ya jiwe kaguse mtoto wa mkubwa uone moto utakaowaka. kiko wapi MSICHANA WA KAPUYA? mavi yatawabana sana mwaka huu serekali ingedil kwanza na hawa viongozi tungeona inatenda haki

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwa msichana wa kapuya umedandia train-yule ni kahaba pigaji ndio mana ht hao wanaharakati hawakuangaika nae bda ya kuujua ukweli,

      Delete
  8. Hebufatilia habari vizuri,yule msichana wakapuya nimwongo alipandikizwa kisiasa,kama wewe nimtu wakuhadisiwa basi jukwaa hili halikufai.

    ReplyDelete
  9. wewe ndo ziro kabisa ufai kabisa unadanganywa kwa pipi unanyangaywa haki yako pole tena pole sana kalagabao najua yule wa joyce kiria ndie aliyedanganya so usitetee ujinga

    ReplyDelete
  10. Dawa ya moto ni moto. Mngemtafutia mbwa chizi amng'ate nayeye alaf mumuuliza kama ni kitamu au laa

    ReplyDelete
  11. huyu dada alishawahi kuumiza uume mtu,jamaa hakutaka aibu akatibiwa kimyakimya,ni hatari wazee wenzangu ,

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad