Kingine kipya kutoka kwa mpenzi wa Ney wa Mitego Siwema kuhusu kufukuzwa kazi

Miongoni mwa mastaa ambao wanamake headline sana Tanzania ni pamoja na Ney wa Mitego ambaye siku chache zilizopita aliwaonyesha waandishi habari nyumba yake mpya aliyoinunua na kuimalizia ujenzi na baadhi ya vitu vingine ikiwemo pia gari analotembelea kwa sasa ambalo ni Nissan Murano.
Leo kupitia You heard mpenzi wa Ney aitwae Siwema amehusishwa na taarifa za kupiga picha za utupu ambazo zimesababishwa kufukuzwa kazi kwenye kampuni ya Shirika la ndege alilokua anafanya kazi ambapo Ney alipopigiwa simu haya ndiyo yalikua majibu yake.
Ney amejibu ‘kama umesikia hiyo sawa, nitampa hiyo pole…. sijui kuhusu yeye pia kulipwa kiinua mgongo, hayo unayongea wewe, mimi sijui chochote… ongea mpaka mwisho umalize haya!!
Ili kusikiliza kila kitu bonyeza play hapa chini…

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Poa tu mbona!

    ReplyDelete
  2. Kashushuliwa mpaka rahaaa

    ReplyDelete
  3. bwana.eee! hebu endeleea kula ujana na mkeo, uc,angalie kaz atapata 2 nyingine...

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad