Majibu ya Mbunge Salvatory Machemli kuhusu Picha za Utupu Zilizosambazwa Zenye Sura Yake.

Siku chache zilizopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zilisambazwa picha mbalimbali za Wabunge wa Bunge la Tanzania zikionyesha wakiwa kwenye sehemu za faragha sehemu ambazo hutumiwa zaidi na wapenzi na zaidi ni namna ya picha hizo maana zingine zilikua ni zaidi ya nusu utupu.
Salvatory Naluyaga Machemli mbunge wa Ukerewe kupitia Chadema ni miongoni mwa wabunge waliotajwa kuwepo kwenye orodha hiyo na ni baada ya kusambaa kwa picha zinazomuonyesha akiwa na binti wakiwa zaidi ya nusu utupu,Soudy brown kaongea nae majibu na kila kilichozungumzwa kipo hapa.

Bonyeza play kusikiliza.
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HIVI KWANINI MKEO ASIKUSHITAKI KWA KUMWAMBUKIZA UKIMWI

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad