Mchumba wa Ney wa Mitego Siwema Atoa Machozi ya Furaha Baada ya Kuona Nyumba Mpya ya Ney Yenye Thamani Kubwa

Katika Harakati za Ney wa Mitego kuonesha Mali zake ambapo juzi ametuonesha gari lake aina ya Murano lenye Thamani ya Milion 36, Jana ameonyesha nyumba yake mpya yenye Thamani ya Mil 170 ambayo ipo Maeneo ya Kimara , Katika tukio hilo la kuonesha nyumba pia alimsuprise mpenzi wake Siwema Ambae alikuwa hajui Kama anajenga ambapo kitendo hicho kilimfanya Siwema Atokwe na Machozi ya Furaha ....
Angalia Picha hizo za Nyumba yake Mpya hapa Chini:


Picha:Bongo5
udakuspecially.com

Post a Comment

28 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hapo mwake jo!

    ReplyDelete
  2. Siwema analia yeye ndo kachangia hiyo nyumba chezea pedeshee wewe

    ReplyDelete
  3. Analia kwa vile hakujua Ney anajenga. Hawakawii watoto wa mjini wakiachana kudai alimjengea. Hongera Ney,na ni vizuri umetujulisha ni jasho lako,Siwema hakuchangia.

    ReplyDelete
  4. Hongera sana Ney.

    ReplyDelete
  5. Ni yake kweli? isije kuwa movie inaendelea?? Maana hawa wasanii wetu!!! Kama ni yake kweli hongera zake kwa kweli atakuwa amefanya jambo la maana sana.

    ReplyDelete
  6. Hongera sana kaka.

    ReplyDelete
  7. Kama siyo yake anajidanganya mwenyewe,kama yake anastahili pongezi.maana kuna watu wanajua kutunza pesa kwa kumwaga kwenye majukwaa akili ya kujenga hawana,naamini watajifunza,kimbiza ney.

    ReplyDelete
  8. Ommy Dimpoz,pozi kwa poziiiiiiiiii. Tupogo...bado...tupogoooo!!!!! Fainali uzeeeni.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ha ha ha haaaaa! Acha ncheke mie

      Delete
  9. je ni.muzik Gani.
    Mara bangi
    Mara sembe...?

    ReplyDelete
  10. Hongera sana tena sana...mjengo ndio mpango mzima mjini hapa

    ReplyDelete
  11. wenzio wanahonga madem we unajenga safi sana

    ReplyDelete
  12. ile swimming pool yetu imefikia wapi vileeee

    ReplyDelete
  13. ile swimming pool yetu imefikia wapi vileee

    ReplyDelete
  14. Wow awsomee. Ney

    ReplyDelete
  15. sasa ya diamond itakuwaje? maanake kwakweli sijui huyu ney ameuza album ngapi mpaka apate huu uwezo mkubwa, angekuwa diamond kwakweli nisingeshtuka saana, maana ya diamond at least yanaonekana kwamba ndiye anaongoza kwa mapato na hata mauzo ya album zake, sijui lakini!!!!

    ReplyDelete
  16. mzik+ sembe.=

    ReplyDelete
  17. SASA MBONA COMMENT ZA KUPONDA TU, WEKENI NA NYIE ZENU TUZIONE! HUYO KAJENGA USWAHILINI KAMA ANGEJENGA MBEZI BEACH KARIBU NA KWA KUSAGA INGEKUWAJE? BIG UP MTOTO WA KIMANYEMA TEMA CHECHE TU . KESHO KUTWA TUNATAKA KUONA NA ZA OMMY DIMPOZ.

    MIE NIMEPITA TU

    ReplyDelete
  18. ongera sana kaka,maana daaaaaah ni noma saana.

    ReplyDelete
  19. hiyo ni kweli jamani jamaa anajitahid sana hata nyumba yake ya kimara naijua mana nakaa huku. ni msanii anayejitahid sana japo matatizo madogomadogo yapo kila mahali

    ReplyDelete
  20. haina thamani ya m17 hata sisi tunajenga nyumba ya m17 siyo mchezo bwana

    ReplyDelete
  21. kwa muziki gan?na hyo nyumba si ya million 170,acha ushamba watu wana vitu na wamekaa kimya itakua ww?au umezipata ukubwan?ila sishangai ni kawaida yenu wa.......ga.

    ReplyDelete
  22. ina mana ck hizi mziki unalipasana eeh?najaribu kuvuta picha wale wakongwe wamejikokotasana mpaka kujenga nyumba na kununua magari ya kifahari,ila mmmm........... itajulikana tuu,za mwizi arobaini

    ReplyDelete
  23. wasiopenda mafanikio ya watu bana!!!!! ney kiboko yao baba! nyie mna judge thaman ya nyumba? mwenyewe kasema hizo au mlikua nae wakati anatoa? acheni majungu basi ney anastahili pongezi

    ReplyDelete
  24. ndio yale yale ya Wema SEPETUNGA mwishoni mwenye nyumba akamtimua :)

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad