Mrembo Aaguka Kutoka Juu ya Spika na Kufariki Dunia Wakati Akicheza Mziki

Nimetumiwa story hii na chanzo ambacho hakikujitambulisha, na ni stori iliyoambatanishwa na picha, ni story ya binti aliyevunjika shingo yake na kufariki katika tamasha la kucheza muziki mitaani (street dance) katika mitaa ya Jamaica weekend weekend iliyopita.
Chanzo cha habari hii kimeeleza kuwa binti huyo alikuwa ni dancer wa muziki katika style ya acrobatic dance na alikuwa akicheza kicha chini miguu juu juu ya speaker ndipo alidondoka na kuvunja shingo kisha kupoteza maisha.
Kila mtu alishtuka alipodondokea kichwa
Tags

Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ha ha hehe jaman arest in peace ila huo uchezaji wake mi kaniacha hoi!!!

    ReplyDelete
  2. R.I. Pices hakuna pepo hapo.....

    ReplyDelete
  3. Hakuna pepo hapo hahahaha wabongo bwana

    ReplyDelete
  4. kwa waislam kila mara tunasisitizwa tuombe mwisho mwema, sasa kwa huyu dada sijui inakuwaje, style ya kifo cha kucheza na kivazi hicho mmhh! Rip mdada tuko nyuma yako.

    ReplyDelete
  5. r.i.p jehannam njema

    ReplyDelete
  6. R.I.P kwa marehemu.. Pole nyingi sana kwa wafiwa

    ReplyDelete
  7. jinsi ya kutengeneza pesa kupitia computer yako

    ReplyDelete
  8. r.i.p tupo nyuma

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad