Serikali Itoe Tamko Kuhusu Vodacoma M-pesa

Kwa muda wa siku mbili sasa huduma ya Mpesa kupitia mtandao wa Vodacom imekuwa haipatikani na hakuna kauli rasmi kutoka mamlaka zinazohusika kuhusu nini hatima ya pesa za watu au nini kifanyike katika tatizo lililopo.
Serikali ndio iliyoruhusu matumizi ya Mpesa na hata yenyewe inakubali kufanya shughuli zake kwa malipo ya kupitia mitandao hiyo, hivyo ni suala ambalo wao wenyewe wanalitambua na kulikubali.
Sasa kwa nini kama kwa siku mbili hakuna hii huduma na watu wanapesa zao huko TCRA au wizara mbona wako kimya?

Tags

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. kumamake voda wametupga hela zetu ,rais anasema anatuletea trey songs na usher.. hahaha ah kumamae

    ReplyDelete
  2. yan voda wamechemsha jabisa hela zetu za simu wanafanyia mitaji yao washenzi siku 3 lzm tuandamane

    ReplyDelete
  3. yaan kiukwel huduma za voda zinaboa kabisa, kama wameshindwa wauze kampun, wanafanyia biashara pesa zetu, upuuz mtupu

    ReplyDelete
  4. yan kabisa pesa zetu zinafanyiwa biaashara jaman tuandamane siku 3 wako kimya awatuombi samahani

    ReplyDelete
  5. ivi jamani selikali mbona iko kimya au lao moja tunakufa wakiludisha tu natoa pesa zangu zote siludii tena

    ReplyDelete
  6. Poleni ndg, DECI.....! Mi nilishaamua kurudi tu benki mapemaaaaa. Kutoa ef 10 umakatwa EF 3, nn hiki?

    ReplyDelete
  7. mgomo baridi baada ya kuunganishwa kwa kampuni nyingine kwa hio huduma....mpesa ni walafi manina zao

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad