Serikali ya Tanzania imepiga marufuku uvutaji wa Shisha.

Uraibu huo unaohusisha uvutaji wa Tumbaku yenye ladha tofauti tofauti ambayo hutiwa ndani ya chupa kubwa na kuvutwa kwa mirija, umeshika kasi sana Tanzania hasa miongoni mwa vijana wadogo mjini Dar Es Salaam.
Baadhi ya watu wanaiona Shisha kama isiyokuwa na madhara ya kiafya ikilinganishwa na uvutaji wa Sigara.
Lakini wataalamu wanaamini kuwa uvutaji wa Shisha kwa muda wa saa moja ni sawa na kuvuta sigara miamoja.
Madaktari walitoa onyo kuhusu uvutaji wa Shisha wanakabiliwa na tisho la kuugua Saratani sawa na hatari inayowakabili wavitaji wa sigara.
Tags

Post a Comment

26 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. shisha ni haramu, sigara 100 je?,
    Tumeona madhara ya uvutaji wa shisha lakini hujabainisha madhara ya uvutaji wasigara moja,

    ReplyDelete
  2. Ni serikali ya hovyo inayokaa kimya huku vijana wengi wakiathirika na unywaji wa viroba. Viroba ni janga la kitaifa,kenya who are always ahead of us wameshzvipiga marufuku viroba.

    ReplyDelete
  3. Serikali my foot ! Watu wanauza madawa ya kulevya na wanajulikana, inamaana serikali haiwaoni! Mateja wamezaga bara barani , watuhumiwa wanakamatwa nchi za watu ila wakifika TZ wako huru! Ina maana serikali haioni? Watoto wana bakwa na watu wazima na sheria haichukuliwi! Inamaana serikali haioni?? Leo hii mtu anavuta sisha kwa mapenzi yake na starehe zake, eti serikali imeipiga sisha marufuku!!! Shisha si kama sigara tu!!?? Yaani serikali kazi yake ni kupiga marufuku vitu vizivyo kuwa na kichwa wala miguu. Mara shisha, mara video za wavaa bikini, mara kanga moko, mara vigodoro, ivi kweli inaingia akilini hiyo!! Sad sad

    ReplyDelete
  4. Hayo ndio mmeyaon. Taifa linateketea kwa kukosa nguvu kazi nyie mnapiga marufuku shisha? Vip kuhusu hivi viroba? Mwanafunzi anaenda shule na viroba kwenye mkoba, mkulima anaenda shambani na viroba, wananchi wamegeuza viroba kama kifungua kinywa. Ukowapi ule usemi wa nguvu mpya, hari mpya na kasi ya ajabu? Au ilikuwa nguvu ya soda?

    ReplyDelete
  5. Tru...Shisha isnt good for health...nchi niliyopo wamepiga marufuku pia...inaweza kusababisha sudenly death n oda effects in the hrt....Good job serikali ...aya bado bangi na madawa pigen vita na iyo basiiiii

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nchi uliyopo shisha inauwa watu hafla!! Nchi gani? 2. Tanzania shisha haijauwa watu ghafla ila unga unawatesa watu na kuwauwa pia. Unga upigwe MARUFUKU!! Sibora shisha inakuuwa ghafla, unga unakutesa na kuitesa jamii yako nzima before haijakuuwa!! Good job serikali my A**

      Delete
  6. Kama madawa ya kulevya a bangi zinavyotumiwa kwa siri basi na shisha tutaendelea kuitumia kwa siri majumbani mwetu.OVER..

    ReplyDelete
  7. hahahahahaha umenena mdau

    ReplyDelete
    Replies
    1. 100.upo wapi tupate bia 2 3

      Delete
  8. TANZANIA is a dampo

    ReplyDelete
  9. mwenye sikio na asikie..

    ReplyDelete
  10. Viroba viliua kaka yangu tarehe 20/01/2014. R.I.P.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Sio kosa lake ni serikali ya ccm ilimuua kwa.kuruhusu wananchi wake kunywa( sumu)viroba.

      Delete
  11. Fuck the government, wauza unga,watoa vibali vya kufungua makasino,mabaa,wadhulumati,waizi,wala kodi za wanyonge,waharibifu wa mabinti za watu,wake za watu,....fuck politicians,fuck president,fuck member of parliament na kama unai support serikali fuck u too.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Jipige mwenyewe dole la mkundu

      Delete
  12. Naomba kuuliza jamani viroba ndio nini? Maana naona kila mtu anaongelea viroba viroba!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Viroba ni pombe aina ya.gongo,piwa au chang'aa ambayo hupakiwa kwenye pakiti ndogondogo za plastiki.Ni pombe rahisi inauzwa kuanzia shilingi 200 za kitanzania.Huuzwa.kinyume cha sheria kila mahali mpaka wanafunzi huvibeba viroba kwenye mabegi ya.shule kunywa na.kuuziana darasani.Anayekunywa huanza kutokwa na akili ,na mabega yake hupanda juu kama ya kuku mwenye utitiri.Viroba ni kama vidonge vya majira kwani.wanywaji karibu wote huishiwa na hamu ya kuDo hadi wanasaidiwa hiyo kazi.Wengi wakilewa hujinyea na.kujikojolea.Viroba huua wengi kwa ajali na hutoboa tundu kwenye koo kwa saratani.Viroba vimeshapigwa marufuku Zambia,malawi,rwanda ,kenya nk.hapa tanzania kama kawaida serikali ya ccm ipo usingizini.

      Delete
  13. ni kweli kabisa, pamoja na hayo naongezea ufunguzi wa pub, baa bubu(karibu kila nyumba), na ufunguzi wa baa/casino mtaani zinazokesha usiku kucha bila kujali siku za kazi zenye kujaza makahaba wake na kiume bila kificho, nchi sijui inaelekea wapi! Mungu saidia watoto wetu.

    ReplyDelete
  14. kiroba ni aina ya kilevi kama ilivyo konyagi iko katika pakiti ya ujazo mdogo kwa bei rahisi sana(hata mpiga debe anakunywa bila maumivu wala kujiuliza) inapatikana kila mahali hadi standi za daladala.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asante mdau kwa kunijibu swali langu...Shukrani!

      Delete
    2. Mlevi wa kiroba ni lazima ajinyee na kujikojolea mara kwa mara.Majanga.

      Delete
  15. Wapige marufuku ushoga kwanza fuck government

    ReplyDelete
  16. Viroba vimenifanya kilema,nimefilisika na mzazi mwenzangu hanitaki tena.mnanishauri nini wadau?

    ReplyDelete
  17. mhhhhhhh.......wewe unaesema utatumia shisha ukiwa kwako....TUMIA WANGU UTUKOMOEEE mana utatukomoa kwelii

    ReplyDelete
  18. Mbona sigara hawapigi marufuku?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad