Shilole'Nuhu Mziwanda Ana Love ya Ukweli Kwangu Mpaka Najiuliza Alikuwa Wapi Siku Zote"

Siwezi kusema na mimi nitajichora tattoo ya jina lake ila na mimi siku nikiamua nitajichora tu kwa mapenzi, Kiukweli ana love ya kweli kabisa tofauti na wanaume ambao nilikuwa nao, watu walikuwa wanapenda tu wasikie wanatoka na Shishi kwa kutafuta Kick na nini Lakini Nuhu kama Nuhi ana Upendo wa Pekee Kabisa Yaani hadi inafika hatua nasema alikuwa wapi siku zote ..Wanasema Mungu Akitaka kukupa Kitu Hakuandikiii Barua
Tags

Post a Comment

16 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Haya hongeren wapendanao na cku ya kumwagana umcfie hivyovyo cha nyie ni waislamu ramadhan ndo hiyo hebu bac fungen ndoa muache kuzin hiv mtaandikwa mpaka lin kwenye magazet kila cku habar zenu mnachosha acheni kuto....na mpaka mfunge ndoa

    ReplyDelete
  2. shilole miaka 33 sasa lakini bado linajiona kasichana.uligeukwa kwa mdogo wako lakini hukomi na jamaa kaamua kuoa mdogo wako kabisa baada ya kumpa mimba,unaona haitoshi unaanza kwa nuhu
    sasa ngoja akutombee watoto wako huko ndani ushike adabu

    ReplyDelete
  3. Ana kusuguwa. Vizuri kuliko walio tangulia Sio. Siku zake bado zakumchukia zajaaa

    ReplyDelete
  4. ukitaka kujua km anakupenda kweli poteza hvyo vsent ulivyonavyo bata zikate uone km kwel anakupenda km hajaamia kwa uwoya mna nyie c ndo wabemendaji

    ReplyDelete
  5. Bemenda tu watoto wa wenzio na wale wako wamekuaaa sasa hivi utasikia mimama inajisifu kma wewe mtoto mtamu cjui utafurahia jifunze kujiheshimu mapenzi hayachagui but ukiwa na akili timamu lazima uchague sio kuwa kma kokoro lakuvulia samaki dagaa haya papa haya linavua tu...kwa hili umechemsha....

    ReplyDelete
  6. Kachemsha mbaya jitu zima ovyooo!

    ReplyDelete
  7. Shilole acha kubaka mtoto wa watu na wewe ni mwanamke mtoto wako atakuja kufanyiwa hivyo hivyo

    ReplyDelete
  8. unampa tigo Mtoto wawatu unamkomaza hivhivi Haya Siku yakumwagana pia mtujulishe maana saa hz unampa tigo baadae Cjui utampa nn Ramadhani hiyooo. endeleeni kulana tigo

    ReplyDelete
  9. Namtafuta mziwanda nione ana nin kinachompagawisha shishi

    ReplyDelete
  10. mziwanda ana akili zake kichwani anakuonyesha anakupenda sana kumbe anayake akishatekeleza ndo utajua kuwa ana love ya ukweli au la, mjini shule, huoni anaanza kuwa na jina mjini, mimi sijawahi msikia mziwanda ndo leo namuona.

    ReplyDelete
  11. Chevuuu tafuta saiz yak lo! Huoni haya.

    ReplyDelete
  12. Nimepitwa,hivi hii picha kumbe ni wapenzi,mie nilidhani mama na mwana.

    ReplyDelete
  13. Jamani mpz si hayachagui

    ReplyDelete
  14. Komaaa na jiji la dar

    ReplyDelete
  15. Umenyonywa mkundu na hy serengeti bac utamsifia mpk bac

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad