Team ya Mpira ya England Yaanza Vibaya Kombe la Dunia

KIKOSI cha England kimeanza vibaya Fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil baada ya kupokea kipigo cha bao 2-1 kutoka kwa Italia usiku huu. Katika mechi hiyo ya kundi D wafungaji wa Italia: Marchisio 35, Balotelli 50 na England Sturridge 37.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad