Wajambazi wakiwa na bomu wamiteka gari inayosafirisha abiria toka kigadye/kilelema kuja kasulu na kuilipua kwa bomu. Inasadikika baada ya dereva kusimamishwa na dereva kutotii amri, majambazi wameamua kuirushia bomu. watu watatu wamefariki hapo hapo. Kumbuka kijiji kiko karibu na mpaka wa burundi
Huo sasa ni ugaidi jamani!!!
ReplyDelete