Diamond ni Zawadi Kutoka kwa Mungu Kwa Watanzania..Ushahidi Huu Hapa

Jana nilijihakikishia jinsi gani Diamond yupo katika level yake ya kipekee huko juu....unajua ilikuwaje??

kwenye tamasha la fiesta la Dodoma ilipigwa nyimbo ya mdogomdogo bila Diamond kuwepo na ilipata shangwe zaidi ya wanamuziki wote waliokuwa wakipeform..

Zaidi hata ya Ally Kiba ambaye wanafki wachache wanafanya makusudi kumlinganisha na Diamiond...hebu fikiria mtu hayupo ila anakufunika je angekuwepo???!! ………………

Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kama unampenda ally kiba, barnaba na wengineo poa tu lakini tambua Diamond yupo kule juu anawaangalia wale waliopo chini.

Post a Comment

25 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HII BLOG NI YA "DIMOND" AU!!!! maaana promo yake ya kinoko sana...mdogo mdogo mwisho chalinze......ali ndio mwna dar es salaam

    ReplyDelete
    Replies
    1. jus admit its huge blow to team alikiba

      Delete
  2. ukwel ndo uo kama utaki kaandamane

    ReplyDelete
  3. Hahahaaaaaaa eti mdogo mdogo mwisho wapi? Mwenzio ndio keshabeba tuzo nje na hiyo mdogomdogo Una habari? Kwa hiyo D lazima aandikwe tu siyo humu tu blog zote kwa sababu Kuna sababu za kumuandika!

    ReplyDelete
  4. kumaaaaaaeee zenuu mdogo mdogo mwisho wapi mnasema ninyi makuma..???????????????? ngoma inapigwa dunia nzima uje useme nyimbo za kiba hata mikoan hazipigwii kwendaaaaaa hukoo kiba mshambaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  5. HIVI HUYU NI MUISLAM KWELI?UISLAM HAUKUBALIANI NA HAYO ANAYOFANYA DAI,HATA TATOO.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wee nawe,kwa taarifa yako alishaacha uislam,anaabudu kwenye suti nyeusi.
      we baki na amani kwa kuwa hachafui uislam tena.

      Delete
    2. Hebu mwambie huyo, maana watanzania hawaamini mpaka waone.

      Delete
  6. weee admin unageuzwa wee, achana na Ali Kiba kabissssaaa!! hilo Domooooo halipo kabisa kwenye anga zake, litabaki kuchangamkia madili feki na kuumbuka huko majuu!!!

    ReplyDelete
  7. Khaa watu mna roho ngumu eti Dai haingii anga za Kiba sijui anga zipi?

    ReplyDelete
  8. Teh! teh! teh! sio Ali Kiba tu, msanii yeyote wa Bongo Flava hawezi kufika level za Diamond kwa sasa, huyu jamaa anasafiria Devil Star, kuna mengi makubwa yanakuja zaidi ya haya....... (My people are perished due to lack of knowledge)

    ReplyDelete
    Replies
    1. kudhalilika!!!!!!!!!!!!!!

      Delete
    2. true true ni zawadi ya Wema Sepetunga na mama yake mzazi sisi hatusaidii chochote

      Delete
  9. habari ndio hyo dai anatisha tena sana km awataki wakandamane km chadema.

    ReplyDelete
  10. huyu blogger ni mdada au mkaka.....majibu unayo acha kumfananisha domo na kiba kila mtu anaweza kivyake na kwa wakati wake. xo shut da hell fuck up.

    ReplyDelete
  11. we admin ni msenge acha ushabiki wa kishamba...mwache alikiba wa watu fala ww.shabikia domo na usimfananishe na kiba wala barnaba...hawaendani hata kidogo. huu ni mda wa domo utakuja muda wa mtu mwngn:-b

    ReplyDelete
  12. BAAMBIE BAELEZEYEEEE

    ReplyDelete
  13. Diamond ni Zawadi kwa wa-TZ wasiomjua Mungu.

    ReplyDelete
  14. mtaelewa tu na hyo mwana kariakoo maana inaiushia kariakoo tu watu wako level zingine halafu wewe unakalia kubana pua

    ReplyDelete
  15. Ali Kiba atasubiri sana kinachomfanya asitoe video za nyimbo zake mpya ni nini?Hapo ndo D anapowapiga bao alusema mwisho wa mwezi wa nane mwezi wa kumi sass akiulizwa ooh haina haraka kwa sababu audio inafanya vizuri! Diamond ananjua kazi na anajua kujipanga.

    ReplyDelete
  16. Ni kwel kabisa diamond yuko juu. Mpeni sifa zake amejitahidi kuiwakilisha Tz vzr nje ya nchi. Keep it up D.

    ReplyDelete
  17. Hata mkimchukia Diamond, Riziki zake hamtazuia daima!

    ReplyDelete
  18. Hata kama D anaabudu kwa wenye suti nyeusi inahusuuuuuu??? Atabaki kuwa juu kama vp nanyie nendeni mkaabudu au mwambieni kiba akaabudu ili amfikie. D yupo juu na atabaki kuwa juu hata mnywe visu 0 haiwezi kuwa 1 hata siku moja..

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad