Instagram Party Tanzania Tour 2014 Mwanza Waandika Historia Watu 5,000 Wajitokeza Jembe ni Jembe
1Udaku SpecialOctober 07, 2014
Instagram Party Tanzania Tour 2014 juzi imeweka historia mpya ya Sherehe hizo zilizoanza mjini Dar Miezi 2 iliyopita baada ya watu Elfu Tano kufurika Ukumbi wa Jembeni Jembe wa Mjini Mwanza kusherehekea Sherehe hizo ambazo kwa mara ya kwanza zimetoka nje ya mkoa wa Dar kuanza na Mwanza juzi. Wakurugenzi wote 4 wa Instagram Party Tanzania Freddy + Gillsant + Bikira wa Kisukuma na Le Big Show wote walikuwepo kwenye sherehe hizo ambazo zilitumbuizwa na Ben Paul, Shilole, Jokate, pamoja na Wabiro. Sasa sherehe hizo zitakazozunguka Tanzania nzima zinahamia Mbeya. - Le Mutuz
This is tour party of the tourist in Tanzania.this is very enjoy-full time for them.
ReplyDelete