Web

UKAWA kufanya Mkutano Jangwani siku ya Jumapili

Top Post Ad

Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) unawatangazia Wananchi wote wazalendo wapenda nchi yao kuhudhuria katika Mkutano Mkubwa wa aina yake wenye lengo la kuizika CCM siku ya Jumapili katika viwanja vya JANGWANI kuanzia saa 8:00 Mchana. 

Njoo ushuhudie tukio muhimu la kihistoria ambapo Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vinavyounda UKAWA watakavyosaini Makubaliano ya pamoja ya ushirikiano ktk Chaguzi zote zijazo kuelekea 2015.

Mkutano utarushwa live na kituo cha ITV.

Njoo ujionee namna madalali wa nchi hii watakavyoumbuliwa na katiba yao feki kusasambuliwa!

Mpe taarifa hii na mwenzako.

UKAWA TUMAINI LETU!

Below Post Ad

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.