Ili Ndio Gari la Mkaa lililotumwa na El Merreikh Kuwapokea Azam fc Uko Sudani

Hili ndilo basi ambalo El Merreikh wamewapatia Azam FC baada ya kuwasili Khartoum.

WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC wamepata mapokezi ya ‘kigaidi’ mjini Khartoum, Sudan baada ya kuwasili usiku wa kuamkia leo kwa ajili ya mchezo na wenyeji, El Merreikh.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad