NDOA ya staa wa filamu nchini, Salim Omary ‘Slim’ na mkewe Asia Morgan imevunjwa rasmi

NDOA ya staa wa filamu nchini, Salim Omary ‘Slim’ na mkewe Asia Morgan imevunjwa rasmi na Mahakama ya Mwanzo ya Magomeni jijini Dar kufuatia mgogoro wa muda mrefu. Hakimu aliamuru watalaka hao kugawana mali zote walizochuma pamoja likiwemo gari walilozawadiwa wakati wa harusi yao, ambalo ndilo lilikuwa chanzo cha mgogoro huo.

Unahisi kwanini ndoa za vijana wengi wa sasa hazidumu. hakuna upendo wa kweli, tamaa zinasumbua au unahisi nini?

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HAKUNA UPENDO WA KWELI!!!

    ReplyDelete
  2. Hii ndoa niliiona chereko....ilifana sana

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad