Tanzania ya Kipa Kingereza Kwaheri Shuleni na Mtihani wa Darasa la Saba Wafutwa

Jana mheshimiwa Rais wa Tanzania alizindua Sera mpya ya Elimu ambapo kati ya mengi yaliyomo ndani ya sera hiyo ni kufutwa kwa mtihani wa Darasa la Saba na Elimu ya Msingi kuongezwa hadi Kidato cha Nne..pia lugha ya kiswahili ndio itakuwa ikutumika katika masomo na kukitupilia mbali kingereza..
Soma zaidi hapa chini:
The newly-launched education system has abolished national examinations for primary school leavers and extended basic education to four years at secondary level—meaning students will sit their final examination after 11 years in primary and secondary school.

The policy makes Kiswahili the medium of instruction from primary school to university level, thereby ditching English —which has dominated Tanzania’s education system from secondary to tertiary level.

But it will take decades for the new system to take root because extensive preparations will have to be carried out before English is phased out. The policy, which President Jakaya Kikwete launched yesterday, also gets rid of school fees at both public primary and secondary levels and guarantees free education.

President Kikwete said the new policy was in line with Vision 2025 and takes into account global economic, social and technological changes. “In the next seven years, we will have built capacity whereby every child who starts Standard One will reach Form Four,” he said during the launch of the policy in Dar es Salaam.

But, given the timeframe, there are doubts that the new policy will yield significant results in the next decade. Critics say school fees in public schools are just a small portion of the cost of education, given that parents are required to make numerous contributions.

According to the Permanent Secretary in the Ministry of Education and Vocational Training, Prof Sifuni Mchome, the new education system will incorporate vocational education in the basic education syllabus so that students who do not make it to Form Five have skills to contribute to the development of the country.

“It’s our hope that when students complete this basic education, which is compulsory up to Form 4,” Prof Mchome said, “they will be at an age ready to contribute to the country’s development.”

Unlike the current policy, which focuses on filtering and rejecting students without skills through final exams, according to Prof Mchome, the new one raises the number of educated Tanzanians with skills.

“We need a critical mass of skilled labour for the country’s development,” he explained, “but you can’t get it through the current traditional system, which only filters and children go back home after failing Standard Seven final exams.”

Mr Kikwete declared it a significant day in the history of the education sector and said the new policy was a must so the country could proceed in line with global economic and technological changes.

The President assured the public that the new direction would take Tanzania to the next level, where the nation will have skilled people with both practical and theoretical knowledge.

Is Kiswahili a solution to education woes?

Speaking yesterday during the launch, the assistant director for policy at the ministry of education and vocational training, Mr Atetaulwa Ngatara, said it was proper that Kiswahili be the channel by which the skills are transferred to students. Language studies will then be available to enable students to communicate in English. “To think that learning in English will lead to students communicating in English is wrong,” he said. “Communicating in English is something else, which has to do with language studies.”

The document says the government will continue strengthening English in teaching along with Kiswahili during the transition period because using only Kiswahili will require a lot of resources.

Kiswahili is currently the language of instruction at primary level and English remains a subject. Thereafter, English becomes the language of instruction from secondary level to higher learning.

According to the policy, making Kiswahili the language of instruction at all levels of education is aimed at bringing sustainable efficiency in providing the skillful workforce that is needed for national development.

But in a globalised economy where English dominates almost everything—from trade to politics—it is not clear which way Tanzania wants to go in the next five decades.

After years of being driven by market forces, private schools in Tanzania will have a regulator to ensure that the cost of education is realistic and provides value for money. The idea is to make sure that school owners do not overcharge parents who shun public schools in search of quality education in the mushrooming private schools.

President Kikwete said the policy would set indicative fees for private schools and put an end to the exploitative fees some unscrupulous school owners charge. Consistency in text books

The policy also provides consistency in both text and reference books used to teach in both public and private schools, contrary to the current situation where every school chooses what it considers suitable. This will eliminate the trend where schools use different books for the same subjects, which has been blamed for the poor performance of students.

“It’s impossible that every school uses its own reference book when the final examinations are the same,” the President said. “How do we expect children to pass in these conditions?”

No national examination for Standard Seven

According to the assistant director for policy in the ministry of education and vocational training, Mr Atetaulwa Ngatara, students will be tested to check their level of understanding at each level before they get to Form 4. “Let’s say there will be a test at standard three,” he explained. “Teachers will arrange special programmes to help those who fail to get over their weaknesses and they can then proceed to another class.”

But judging by the fact that the reading culture has almost died off, dropping national examinations for primary school leavers will likely have negative consequences in terms of the quality of graduates.

The new policy further declares that the government will make nursery education compulsory for not less than a year for children aged between three and five.

Basic education—from Standard One to Form Four—will take 10 years. Standard One pupils should be aged four to six, depending on ability of the child, and the government will ensure that education at this level is free.

According to Mr Kalistus Chonya, an economist in the policy department of the ministry, implementing the new policy will not happen immediately as the policy must go through several more stages.

The document President Kikwete launched was a national policy that will produce an executive policy. It will then lead to a Bill that will be tabled in the National Assembly.

Mr Chonya, who was not in position to say when the new policy will take off, said there were still other stages to be worked on, including preparing strategies and an action plan.
Source: The Citizen
Tags

Post a Comment

12 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Dah ndio basi tena. Wale Wabongo walio kwisha jifunza na kujua Kiingereza ndio hivyo na wale wenzangu na mimi ndio sasa tukae mkao wa kula na Kiswahili chetu duh. Kwa Kweeeliii ni kasheshe tupu. Sisi na Kiswahili chetu duh

    ReplyDelete
  2. ….I don’t believe if this is true, if so then Tanzania is going to be buried. What happened to you our fellow Professors, Doctors, Graduates, are you all blinded in heads? In which world Tanzania wants to live. NOTE: During colonialism education level was much better if not best. Intellectual and influential leaders like Nyerere, Kingunge, Msekwa, Dr Mwanjisi, Kambona, and many others raised from colonial education. We all understand these leaders took their studies in English right from the beginning. What was wrong with the level of colonial education. Do we have any doubt on the IQ of these leaders. How can we rate their education level comparing with our recently graduates. Looking at our neighbors Kenyan, they have better economic, they are seriously competent with high level of education and the IQ. They are far away from us almost at everything, economically, politically, education level etc. What made Kenyan to be, if not better education? Do they use Kiswahili , Kijaluo or Kikuyu to teach their children? Please let’s stop this BLA – BLA…. We will never uplift our education level by using Kiswahili as the medium of instruction. Unless our leaders have their hidden agenda behind this unwise idea. That is to make them with their families remain in power, in better employment and in better businesses opportunities forever.

    ReplyDelete
  3. Hamna nchi mbovu duniani kama hii Tanzania hawa Viongozi wetu sijui machizi duuuuh

    ReplyDelete
  4. Sasa ni kaaziii kwa Balozi mbali mbali kuweka tafsiri ya Lugha zao kwa Kiswahili ili kuwasaidia wale watakao kuwa wanakwenda kuomba passport.
    Itabidi pia watu waanze kujiandaa na kuwakodisha wakalimani duh.......mbona kaaaziiiiii

    ReplyDelete
  5. kwel hii ni nchi ya vichaa,mtufutie kiswahil,halafu watoto wao wanapeka shule za academy,pia na interview za kaz ziwe kiswahili,na mikataba pia iwe ya kiswahili

    ReplyDelete
  6. Mhhh kwa hili hata, sisaport, kingereza kwa kheli mashuleni, kila nchi inajitaidi kuwe na japo kingereza, kwa kuwa imekuwa luhga ya dunia kimawasiliano, na ukitaraji bara letu hili la Africa, na nchi kama Tanzania ni nchi zinazoitwa za dunia ya tatu, sasa bila kuwa na mawasiliano ya hiyo lugha ya kimataifa hapo hmmm, si tutazidi kuwa mbumbu, mbona wenyewe wanapeleka watoto wao mashule mazuri mazuri , tena nje ya nchi, hata nchi jilani zenye shule bab kubwa, na huko ni kufundishwa masomo kwa kingereza mtindo mmja, sayansi nayo kiswahili hmmm, shughuli,

    ReplyDelete
  7. Masikini mtoto wa mlala hoi!!!!, wala hatojua huu ulimwengu unaendaje endaje, hatabaki kuwa gizani kwenye hilii bara jeusi ( dack continent) Kama lilivyokuwa linaitwa, wajuukuu mpaka vitukuu,vya kikwete kesha wakusanyia, watasoma vizuri na kjua lugha ya kingereza vizuri, sio hizi shule za hapa nje, kama hao wengine walivyosoma academy nje( MALAWI) fine fine school academy, na ya bei ya garama sana, kiasi kwamba mlala hoi. agusi pua yake

    ReplyDelete
  8. Hawa kuku wanataka watutawale kijinga, kama wantaka hivyo waingize sheria kweny hiyo policy kwamba hakuna mbwa (watoto) kwenda kusoma nje lasivyo wamekwam. Hotuba ya Nyerere alisema nchi kukiacha kingereza ambacho ni kiswahili cha dunia ni ujinga japo yeye alikuwa ndo muumini mkubwa wa kiswahili

    ReplyDelete
  9. Kweli, ule usemi wa nyerere miaka hiyo alivyokuwa anasema ukitaka mtawala mtu, mtwale mtu mbumbumbu, yaani mjinga, asiye kuwa na upeo wa uweleweo, sasa kiswahili kikitawala hata jilani zetu watatucheka, hatutojua kuandika wala kusoma kingereza, wala kuwakilisha matatizo yetu kimataifa, tutakaa tusubili wakalimani, tuwalipe, watuwakilishie maoni yetu. sisi wenyewe mbumbumbu

    ReplyDelete
  10. WANASHERIA NA MAHAKAMA WAENDESHE KESI KWA KISWAHILI, INTERVIEW ZIWE KWA KISWAHILI, KILA KITU KIWE KWA KISWAHILI. NA WATOTO WA VIGOGO WASOME SHULE HIZO HIZO ZA KISWAHILI, HAPO NDIO ITAKUWA NGOMA DROO. WENZETU KENYA WANATUCHEKA YANI WAKIONA MTZ ANAONGEA KINGEREZA KIZURI WANASHANGAA NA WANAULIZA UMESOMA NJE YA TZ. MUNGU TUSAIDIE NA HAWA VIONGOZI WETU WANAOWAZA FAMILIA ZAO TU

    ReplyDelete
  11. WATOTO WAO WANAWAPELEKA NJE YA NCHI KUSOMA WA MAKABWELA KAZI KWENU

    ReplyDelete
  12. Hawa fisi Tu ccm ,mwaka huu kitaeleweka.wamejenga yeboyebo kisha hamna mitoto Yao hata mmoja wote peleka nje ya nchi.choyo Na roho mbaya Tu.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad