Wastara: Bond we ni Zaidi ya Maneger, My Director, My Friend, My Boy and My Lov....

Udaku Special Blog
Hatimaye Wastara Amwita Mr Bond Mpenzi wake hadharani , leo ni siku ya kuzaliwa kwa MR Bond na wastara ambae kwa muda mrefu amekuwa akihisiwa kuwa na mapenzi ya Siri na  Bond Ameandika maneno haya:

"Happy birthday Bond Bin Sinnan Mungu akupe umri mrefu, sina jipya la kukwambia maneno yoote umeshayasikia midomoni kwa watu ila touti ni vitendo tu ambavyo si vyote uliwahi kuviona na kufanyia hicho.ndicho minachokuahidi kitakuwa kipya katika maisha yako mapya unayoyaanza ya kutimiza miaka kadhaa leo hii mungu.ni mwema na mwingi wa huruma na kutoa pale anapoombwa tumwamini yeye anaweza kutuoa kilakitu mungu akutangulie katika siku yako hii ya kuzaliwa".

Muda kidogo akaibuka na huu mara baada ya kuweka picha hiyo juu;

We ni zaidi ya manager katika kazi, ni zaidi ya rafiki katika upendo kwa kweli mungu ni mwema kwa kukuleta duniani na ninaimani anakila sababu za kukufanya uishi miaka mingi ukiwa na afya njema, furaha na mafanikio zaidi
Nafurahia kuwa nawe karibu maishani mwangu. Happy birthday my Manager, my Director, my Friend, my boy and my Lov..Happy birthday".

Udaku Special Inamtakia Mr Bond Happy Birthday,  Mtunze Wastara Akutunze
Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mungu wa mbinguni awalinde wapendwa.

    ReplyDelete
  2. Safiiiiiiiiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  3. C ulikua unakakataa wewe bondi sio mpenz wako

    ReplyDelete
  4. Nawatakia maisha ya amani na furaha

    ReplyDelete
  5. PUMBAVU SANA WEE.. KWANI NI LAZIMA UWEKE KILA KITU KWENYE MTANDAO

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad