Hili la Kufanya Mapenzi Kwenye Gari ni Ashki, Ubahili au Ujinga?


Ukitembea maeneo kadhaa ya Dar es Salaam hasa Coco Beach, Parking za Mlimani City, Sea Cliff, Airport, Sinza Mapambano na Mori hutakosa watu wakifanya yao kwenye magari hasa yenye Tinted Noah ndio zinaongoza.

Sasa mimi najiuliza hivi kweli watu wazima mnaamua kufanya mapenzi kwenye gari ni kukosa pesa, au ashki imekuwa kali sana hauwezi kuvumilia ama ni nini.Maana kama mtu umeweza kununua gari kama Noah milioni kadhaa, ukajaza mafuta.

Maana mara nyingi wakati watu wanafanya gari huwa lipo silence kwa ajili ya kiyoyozi na Emergency kwa ajili ya kuondoka haraka ikitokea la kutokea unashindwaje kupata hela ya Guest hata short time?

Acheni huo mchezo kabisa , mtakutwa na mtaaibishwa mitandaoni

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. NDUGU MNYETISHAJI WA HABARI HII UMESAHAU YA KUWA KIPOFU AKIPATA NA MATAKO HULIA MBWATAAAAAA???????

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad