Agness Masogange Ndio Mwanamke Mwenye Makalio Mazuri Afrika Mashariki..Ushindi Huo Wamshitua

MODO maarufu Bongo, Agness Gerad ‘Masogange’ ameshtushwa na ushindi wa makalio yake baada ya kutojua kama ametajwa kuwa ni mwanamke mwenye makalio mazuri Afrika Mashariki.

Masogange alishinda nafasi hiyo kupitia utafiti uliofanywa na mtandao wa Media Take Out ambapo kwa kutumia vigezo vyao, walimwanika Masogange kuwa ndiye mwanamke pekee mwenye makalio bomba wakidai amejengeka vizuri zaidi.
“Daah! Mimi mwenyewe nilikuwa sijui, nashukuru kama wao wameona mimi ndiyo mwenye kiungo hicho muhimu cha kuvutia na bora kwa wanawake wengine wote,” alisema Masogange ambaye kwa sasa amehamishia makazi yake nchini Afrika Kusini.

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hamna lolote hapo zaidi ya kutumia madawa ya kichina waje huku uswahilini kwetu wajionee watoto wakike tulivyokuwa na makalio ya asili

    ReplyDelete
  2. Sina hakika ni kigezo gani kimetumika, ndo mana wengine wanadhani kuwa na zigo la makalio ndio bora zaidi!

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad