Breaking News: Ajali Mbaya Iringa Kontena Laangukia Basi la Abiria

Hizi safar hizi...jaman ukipanda gar unashukuru na ukishuka salama pia husisahau kushukuru....  Amjali imetokea changalawe mafinga basi la Majinja limeangukiwa na kontena muda huu hali si nzuri.... Inasemekana watu Karibia wote Wamapoteza maisha.....MUNGU AZILAZE MAHAL PEMA PEPON ROHO ZA MAREHEM JAMAN.....DUH...

Updates 

Taarifa za awali kutoka jeshi la polisi mkoani Iringa zinaeleza kuwa basi la kampuni Majinja lililolaliwa na lori lilikuwa limebeba jumla ya watu 49, idadi hiyo ni pamoja na dereva na kondakta wa basi hilo.wengi wa watu hao wamefariki dunia idadi ya majeruhi haijajulikana bado.

Taarifa hizo zinaeleza kuwa kwenye mizigo mingi ya abiria waliokuwa kwenye basi hilo kumepatikana madaftari mengi ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam hivyo jeshi hilo linaendelea kufanya mawasoliano ma wamiliki wa gari hilo ili kujua kama lilikuwa limekodishwa kubeba wanafunzi wa chuo hicho ama ni mchanganyiko wa kawaida wa abiria.



Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. EEH MUNGU!WALAZE PEMA PEPONI HAWA WAJA WAKO

    ReplyDelete
  2. MUNGU AWALAZE PEMA MAREHEMU WOTE!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. Mungu watie nguvu wafiwa
    Lakini pia kwa sisi tuliobaki tukumbuke kuwa duniani hatuna guarantee ni muda wowote saa yoyote tujiweke tayari.

    ReplyDelete
  4. Mungu awape uvumilivu ndugu wa marehemu.
    Mungu uwafutie makosa yao yote name uwapokee kwenye makao ya milele
    Amina.

    ReplyDelete
  5. Mungu awaangazie marehemu wote amen

    ReplyDelete
  6. Eee Mungu tuokoe!

    ReplyDelete
  7. Roho za marehem wapate rehema kwa mungu wapumzike kwa aman.Amima.

    ReplyDelete
  8. MWANGA WA MILELE UWAANGAZIE WASITAREHE KWA AMANI

    ReplyDelete
  9. Mungu awapokee kwa rehema kubwa.nakuwafutia dhambi zao.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad