Emmanuel Mbasha Afunguka sakata la Gwajima katika Twitter, Asema Hayuko Tayari Kurudiana na Mkewe

Katika Sakata linaloendelea sasa la Gwajima Kumtukana Askofu Pengo na la Kuzidiwa na Kukimbizwa Hospitalini akiwa mikononi mwa Polisi , Emmanuel Mbasha ambae inasemakana yeye na mkewe kuachana kuna mkono wa Gwajima ametoa maoni yake kuhusu Sakata la Askofu Huyo..
Jisomee Hapa Chini:

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Pumba za mpunga na pumba za mahindi=(???????)

    ReplyDelete
  2. Mbasha kama mkeo alimvulia chupi mwenyewe

    ReplyDelete
  3. Sasa kama mkewe alimvulia chupi mwneywe hiyo inahusiana vipi na mbasha? Mungu anaadhibu mana huyu Baba ksingiziwa kitu ambacho hajafanya na kumbukeni anamtoto jamani kesho na kesho kutwa mtoto anakuwa unadhani mtoto atakuwa na picha gani? Mi Naona Bora alivyomwachia Mungu ndo sahvi wanaumbuka. Malipo ni hapahapa. Na kama flora alivua chupi ndiyo kwani mtoto yule lililoko amemtenda vibaya huyu mwanaume yani yeye ndo azini na adhabu apewe mumewe ambaye ndo angepaswa kumuhukumu Flora.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad