Nini kilivunja Pah One, je watarudiana tena? Navy Kenzo ilianzaje? Hapa yako majibu

 Pah One 
Ola amesema walikuwa Afrika Kusini kwa ajili ya shughuli za kimuziki pia huku wenzao wakijitoa na kuunda Navy Kenzo.

Pah One wamerudi Tz, Ola amesema hawezi kujiunga na Navy Kenzo, kingine alichokisema ni ishu ya beat za album ya kundi hilo kuuzwa kwa wasanii wengine.

Soudy Brown alimtafuta Nahreel ambaye amesema toka kundi hilo livunjike hawajawasiliana ila chanzo cha kuvunjika ilikuwa nidhamu akaamua kujitoa, kuhusu beat kutumiwa na wasanii wengine amesema ni kweli imetokea hivyo ila yeye ndio alizitengeneza na hazikuwa mali ya kundi hilo.
Bonyeza play hapa mtu wangu kusikiliza U Heard la leo March 13…
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad