Ray C 'Mapaja Yangu Makubwa Yananitesa Sana'

Baada ya Kuachana na Madawa ya kulevya Mwanamuziki Ray C kwa sasa anahangaika na zoezi la kupunguza Mwili wake baada ya kuwa mkubwa sana kiasi cha kupoteza lile umbo lake la kiuno bila mfupa......

Soma Hapa Alichosema:

'No Filter,No Make Up!Mapaja bado yananitesa sana ila najua nitafika safari yangu ya kupunguza uzito hadi nifike mkoa wa kilo 65........Bado Njia ni ndefu na safari ndo kwanza imeanza ila ninachojua ni kwamba ukitaka chochote kizuri maishano ni lazma ukitolee jasho!ma ndio ninachofanya!Hakika nitafika!

20kg to go!Safari ya kupunguza mwili bado inaendelea!nashukuru nimeanza kuona mwanga mbele yangu!Si rahisi ila nimezoea kupambana na lolote mbele yangu na na uhakika ntashinda na hili pia!Am doing ths for all my fans around the world!' Ray C

Unamshauri Nini Ray C Kuhusu Huo Upaja?


Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huyu teja naye

    ReplyDelete
  2. Ninacho mshauri ray c afanye mazoezi, apunguze vyakula vya mafuta, napia afatilie vyakula vinavyo weza kupunguza mafuta mwilini katika blog hii www.dietdevelopers.blogspot.com

    ReplyDelete
  3. kupasha ndio mpango mzima...

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad