Tundu Lissu Atangaza Rasmi Kuhusu Kuvuliwa Rasmi kwa Uanachama wa Zitto Kabwe CHADEMA

Mwanasheria mkuu wa chama cha upinzani nchini CHADEMA, Tundu Lissu leo ametangaza kuvuliwa uanachama kwa mbunge wa Kigoma Kasikani Zitto Kabwe baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali pingamizi la mbunge huyo la kuzuia asijadiliwe.

"Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo atakuwa amejiondoa uanachama wake, kwahiyo natangaza rasmi rasmi Zitto Kabwe sio mwanachama tena wa Chadema."Amesema  Tundu  Lissu

Kwa upande wake Zitto Kabwe amesema hawakuwa na wito wa mahakamani leo na Jaji wa kesi kahamishiwa Tabora na hawana taarifa ya Jaji Mpya, pia kaongeza kuwa Mwanasheria anafuatilia na atatoa statement.

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kweli sasa nimeamini Chadema ni chaguo la Mungu,kila anayetaka kukisambaratisha husambaratika kwanza yeye mwenyewe.Unakumbuka sakata la mlinzi jana na leo zitto?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nikweli kabisa Chadema ni chaguo la mungu wa wachagga(Nacho charua).

      Delete
  2. Heeee chadema chaguo la mungu for really?????acheni mungu aitwe mungu msifananishe Chadema na Mungu,,,,Eti chadema chaguo la mungu,,,,Hongereni chadema mliochaguliwa na mungu,,,ni shidaaaaaa.

    ReplyDelete
  3. CHADEMA JUUU JUU JUUU KABISA!!!!!!!!!!!!
    CHADEMA OYE OYE OYEEEEEEEEEE!!!!

    ReplyDelete
  4. SAFIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII,CCM TUTAPITA KIULAAINI.

    ReplyDelete
    Replies
    1. YAAANI UFISADI WOTE HUO WA CCM BADO UNAIFAGILIA??????????? AU UMEGAWIWA HELA ZA MBOGO?????????

      Delete
  5. Usenge mtupu

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad