Breaking News: Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yaahirisha Kura ya Maoni

Katika kikao cha waandishi walichoitisha leo mchana, Tume ya taifa ya uchaguzi wameahirisha kura ya maoni iliyokuwa ipigwe April 30 hadi watapotangaza vinginevyo kutokana na kutokamilika kwa uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa BVR.

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. usanii tuu hapo

    ReplyDelete
  2. PLAYING WITH POOR MAN'S SOUL

    ReplyDelete
  3. Bora...si vzr kulazimisha vitu ambavyo hata hatujajipanga ikiwezekana waipostpone hadi mwakani ....it cn wait katiba yenyewe bado kuwafikia wananchi watapigaje kura kwa kitu kisichoeleweka

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad