Diamond Amzuia Zari Kujifungulia Afrika Kusini, Ataka Ajifungulie Bongo, Amuanzisha Clinic Hapa hapa

Habari zilizosambaa leo mitandaoni moja wapo ni hii ya Diamond Kumzuia Zari Ambae ni mama Kijacho wake kwenda kujifungulia Sauz Afrika...Inasemekana Diamond Anataka ajifungulia hapa hapa Bongo Muda utakapo fika ili iwe rahisi familia nzima kufurahi nae badala ya kusafiri mpaka Sauz.

Tayari Diamond Ameshamuanzishia Zari Clinic ya Hapa Bongo kwenye Hospitali ijulikanayo kama AMI iliyoko Masaki 

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sana mzazi wakomeshe wenyewe wakisema wewe fanya vitendo

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad