"Najua nina watu wangu wanapenda sana utangazaji.... unapenda kukionesha kipaji chako mbele ya mtu wako ‪#‎millardayo‬ ?!! unaweza kuongea Kiswahili na Kiingereza kwa UFASAHA? ungependa siku moja uwe sehemu ya timu ya #MillardAyo kwenye ‪#‎Radio‬ na ‪#‎TV‬ ? kaa karibu yangu siku sio nyingi nitakupa njia za kunifikia, usiache kumtag mtu unaeamini anakipaji cha utangazaji wa Radio na TV. ‪#‎TZA‬ ‪#‎POWER101‬ ‪#‎BASE‬'
Udaku Specially blog
Toa Maoni Yako Hapa Chini