Licha ya Kukatazwa Mgomo wa Madereva wa Mabasi Waanza Rasmi Ubungo

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba katika stendi ya Ubungo jijini Dar es Salaam kuna mgomo wa madereva waendeshayo mabasi yaendayo mikoani. Mgomo huo umeanza leo kama ambavyo muungano wa madereva wa vyombo vya usafiri waliahidi wakidai kutotatuliwa kero zao na serikali. Taarifa zaidi pamoja na picha vitawajia hivi punde.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hivi huyu nassoro mtanzania kweli ametokea wapi au ndio milaga hiyo

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad