Viwanda vya Mikorogo Vikizimwa ulimwenguni tutawasahau wengi

Kufuatana na hali halis ya watu kujibadili sura mpaka kukalibia jini, siku ametokea muungwana mmoja Africa akasema viwanda vya vipodozi na mikorogo vizimwe na kutotumika tena. Ipo siku tutawasahau wengi, wengine tutawapa shikamoo bibi, wengine kuwakimbia kwa mabaka ya rangi nyingi tofauti.

Nawasilisha. Bajameni Mkorogo ni Hatari kwa afya yako, Ukatae usiruhusu kansa.

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad