Zitto Kabwe Amjibu Mbunge wa Ubungo John Mnyika ya Kuwa Zitto Ndio Adui Number Moja wa Chadema...Amshangaa Kiongozi Kijana Kuongea Maneno Kama Hayo

Kiongozi wa ACT Mzalendo Zitto Kabwe amjibu Mbunge wa Ubungo John Mnyika kuhusu yeye kuwa adui namba moja wa CHADEMA,Zitto anasema anamshangaa kiongozi kijana kuongea maneno kama hayo badala ya kuwaza maendeleo ya nchi.

Unazungumziaje huu mzozo wa wanasiasa hawa?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad