Diamond Platnumz Kuachia Ngoma Mpya Ya Kimataifa Kesho

Nyota wa muziki wa Bongo flabva nchini Tanzania, Diamond Platnumz anatarajia kuachia ngoma mpya ya kimataifa ambayo mpaka sasa haijajulikana kwani tayari ameshafanya collabo na wasanii watatu wa kimataifa akiwepo Flavour, P-Square na nyota wa Kimarekani.

Diamond ameshare picha ya fomu yakeya kutuma videoya wimbo wake ‘Nana’ ambayo ni collabo yake na Mr Flavour kwenda BET International, video iliyoongozwa na Godfather wa Afrika Kusini inayotarajiwa kutoka May 29, 2015.

Aidha meneja wa Diamond, Babu Tale amesema kuwa watanzania na mashabiki wa muziki wa Diamond wasubiri Ijumaaa ifike watajua kuwa ni collabo gani wataachia kwani tayari wamefanya collabo nyingi za kimataifa.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad