Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?

Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheik Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..

Je wewe upo Team Gani?

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Magufuli ndio anafaa lowasa bepari nikama kumtoa kikwete kumuweka lowasa.

    ReplyDelete
  2. wengi watakao jaa humo watakuwa wamenunuliwa!!! na wengi watakuwa cyo wapiga kura wameenda tu kuhudhuria sherehe!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad