Je Wajua Nguo za Ndani za Kimkanda tu zina Madhara kiafya Kwa Mwanamke?

Mbali nakua comfortable pindi uzivaapo wadau wanasema zinasababisha magonjwa kutokana na muingiliano wa kamba sehemu ya anus inayotembea mpaka sehemu ya uke.

Je bacteria walioko mle wanaeza kuingia na kushambilia uke? Je pia kutokana na unyevu unyevu wa kambani ule unaweza ukapitisha mpaka ukeni na kuleta fangasi?
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Yeah thats bring attention tome,,however human doctors could you please tell us how far this is possible for infection to our sisters

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad