Hii Ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM, itakayopitisha Majina Matano ya Wagombea Urais

Hii ndio Kamati Kuu (CC) ya CCM itakayopitisha majina matano ya wagombea uraisi kwa ajili ya kupigiwa kura na NEC kupata mgombea mmoja.

1. Jakaya Mrisho Kikwete

2. Dr. Ally Mohamed Shein

3. Phillip Japhet Mangula

4. Abdulrahman Kinana

6. Dr. Mohamed Ghalib Bilal

7. Mizengo Kayanza PeterPinda

8. Balozi Seif Ali Iddi

9. Anna Semamba Makinda

10. Pandu Amir Kificho

11. Rajab Luhwavi

12. Vuai Ali Vuai

13. Nape Moses Nnauye

14. Mohammed Seif Khatibu

15. Zakhia Hamdan Meghji

16. Asha Rose Migiro

17. Sophia Simba

18. Sadifa Juma Khamis

19. Abdallah Majura Bulembo

20 Jenister Mhagama

21. William Lukuvi

22. Steven Masato Wasira

23. Emmanuel John Nchimbi

24. Pindi Chana

25. Jerry William Slaa

26. Adam Kimbisa

27. Shamsi Vuai Nahodha

28. Hussein Ally Mwinyi

29. Maua Daftari

30. Samia Suluhu

31. Salim Ahmed Salim

32. Makame Mbarawa

33. Hadija Abood

Nafasi zilizo wazi:

34. Anna Kajumulo Tibaijuka (ametolewa kutokana na kashfa ya Escrow)

35. Salmin Awadhi (amefariki)

Kabla ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2012 wenyeviti wastaafu (taifa) na makamu wenyeviti wastaafu (taifa) walikuwa wajumbe wa kamati kuu.

Kwa sasa wana nafasi yao kama Baraza la Ushauri ambalo wajumbe wake ni hawa wafuatao:

1. Ally Hassan Mwinyi - Mwenyekiti

2. Pius Msekwa - Katibu

3. Benjamin William Mkapa - Mjumbe

4. Aman Abeid Karume - Mjumbe

5. Dr. Salmin Amour - Mjumbe

Hawa wazee wa Baraza la Ushauri wana nafasi yao katika ushauri kwa kamati kuu kuhusu wagombea urais. Vikao vyao havina kalenda hukutana tu pale linapokuwa jambo muhimu na mahususi linalohitaji mawazo yao.

Maamuzi ya Kamati Kuu ni kwa consensus (busara/common sense), sio kura.

Tanzania Hottest Celebrity Gossip News
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad