Maskin Timu yetu ya Taifa Wenyewe Tunaipenda lakini....Yatuabisha Tena Nyumbani Mbele ya Waganda...God Help us

Maskin timu yetu ya Taifa wenyewe tunaipenda lakini mpira unatutosa hivhivi yan! Juzi tu mashabiki wamewafata mazoezini nakuwazomea na kuwapiga mawe kwa ajili ya wiki iliyopita ilipigwa 3-0 na Misri. Sasa Usiku wa jana mechi imeisha  imepigwa tena na Uganda the cranes bao 3-0. dah lkn tutafanyaje sasa ndio timu yetu tuendelee kuonyesha uzalendo wa kuipenda tuuuu maana ndio cha kwetu.
Japo inauma si eti jaman sijui tatzo nini maskini!

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad