Ni kweli wadada wanaoonyesha makalio yao ndo wanaopenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile?

Kuna tetesi huku mitaani kuwa msichana akiwa anapenda kuvaa nguo za kuonesha makalio yake, na kupenda kuyatingisha ovyo, kuyakuza kwa kutumia dawa za Mchina etc, ina maana kwa asilimia kubwa anafanya mapenzi kinyume na maumbile, au anatamani kuja kufanya hivyo.

Kwa mfano niliangalia reality show ya Christina Milian (Christina Milian Turned Up) kwenye channel E! akiwa anajaribu kukuza makalio yake kwa kuvaa booty pants, ili yaonekane makubwa, Je kuna ukweli wowote juu ya hili?

Wadada wa humu na Wadau naomba mnijibu...
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad