Papaa Msoffe Apata Dhamana Baada ya Kufutiwa Mashitaka ya Mauaji, Sasa Kushtakiwa la Kugushi

Taarifa zinaeleza kuwa Papaa Msoffe Chuma cha reli hatimae amerudi uraiani baada ya mashtaka ya mauaji kubadilishwa na kuwa shtaka la kugushi hivyo anaweza kupata dhamana.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Bola pedejee wetu atoke maana tulifulia

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad