Preparations of Zari's Baby Shower Starts, Millions To Be Used.



Zari is expected to give birth either in July or August this year but according to our sources her baby shower is expected to be one of it's kind since it will use millions of shillings and top celebs are expected to be invited. Diamond Platnumz is too making sure everything will be on point since they are big celebs so everyone and the media will pay great attention.

" Zari's baby shower will be in the platinum level, preparations have started but I can't tell you the official date, millions will be used to make sure everything go as planned" an insider told Swahiliworldplanet 

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwa kweli Diamond ananishangaza kweli kwenda mbele za watu kujisifu kama muisilamu halafu anategemea kupata mtoto nje ya ndoa kwa kweli kala hasara mbele ya Allah kwa dini ya kiislamu hairuhusu mambo hayo na huyu Zari hakuna kitu kibaya kama kuritadi ( kutoka kwenye dini uisilam na Kuingia Ukiristo) kama akitaka kuingi katika Uisilamu bac huku yake auwawe

    ReplyDelete
  2. HAWAACHI TUKAONA?
    KUTOAJIAMINI KUBAYAAA. MAMILIONI SIJUI NINI AAAAH KALIPE NA ADA ZA WATOTO WA WATU BANAAAA. UMEWAWEKA NYUMBANI SIYO POA.

    ReplyDelete
  3. amsaidie katunzi tuu

    ReplyDelete
  4. Mtoto wa 4 sijui wa 5 Baby shower? Mweeee! Ukizaa wa kwanza ndio wafanyiwa baby shower kwa sababu wanawake wenzio wanakuja kukupa sapoti kwa uzazi wa kwanza lakini watoto wanaofuata hayo ni yako mwenyewe tena na kutokujua kwako nyota ya kijani.

    ReplyDelete
  5. Ndugu yangu Mungu ni nafsi yako hata wewe unayeamini Allah! ni yuleyule mwingine anayemuita jina lingine! Mungu huyo unayemuamini ni mungu wa waarabu uliletewa enzi za utumwa na hadi sasa unaendelea kutumikia utumwa huo! Kwani kabla ya biashara ya utumwa mababu zetu walikuwa hawaabudu?? Jibu hapana walikuwa na miungu wao na waliomba na wakapewa!! Kwahiyo ndugu yangu wewe amini kivyako! Si uislamu wala ukristo hakuna ccha ukweli zaidi ya biashara za watu kufanyika. Dini ya kweli ni Imani yako na nafsi yako msififishe mioyo ya utafutaji kwa kuleta maneno yasiyo na mashiko!!! Funguka macho mkuu si kama ni kukudharau hapana ila kukuweka sawa katika hilo. Ukiamua kufuata dini yako basi wewe fuata na usihangaike na wengine sababu hiyo ni imani yako mwenyewe kwa hiari yako!!!!!

    ReplyDelete
  6. Inaonesha kijana Banda la Dini huna kama muisilamu au mkalatia kafungue suratul kafiruni angaliya tafsiri yake alipoambiwa mtume kutojishirikisha na makafiri katika kuabudu misilamu abakii kuamini katika imani zao za kiislamu na wakristo waabudu wanavyotaka KWANZA katika dini ya kiisilam jambo la kwanzo ukitaka kuoa imetiliwa msisitizo DINI muewe dini moja asiwe huyu muisilam au mkiristo

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad